Monday, November 12, 2012

KWA MLIOAMINI MGAO WA UMEME UMERUDI, HII STORI INAWAHUSU.



0
TANESCO
Hili ndio jibu kutoka kwa BADRA MASOUD afisa uhusiano kutoka TANESCO ambae namkariri akisema “tatizo la gesi kutoka katika kisiwa cha songosongo Lindi ndio chanzo hivyo baadhi ya maeneo yatayoathirika na hitilafu hiyo ni mkoa wa Dar es salaam lakini hakuna mgao wa umeme kama inavyozungumziwa na watu mbalimbali ni hitilafu ambayo mafundi wanaifanyia kazi”

No comments:

Post a Comment

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...