Monday, February 11, 2013

WAISLAMU, WAKRISTO WACHINJANA GEITA

Suala la nani achinje nyama limeibua vita kali kati ya wakristo na waislamu wilayani Chato mkoa wa Geita. Vyanzo vyetu vinatuambia mtu mmoja ameshafariki.
 

Majeruhi Abdalah Ibarihim akiwa amejeruhiwa vibaya baada ya kukatwa mapnga kichwani na watu wanaodaiwa kuwa ni Wakristo.


Steven Andrea (34) ambaye anadaia kujeruhiwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni waislamu.

Endelea kuwa nasi kwa habari zaidi..

No comments:

Post a Comment

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...