Tuesday, September 24, 2013

KWA GHARAMA HIZI ZA USAJILI TUTEGEMEE NINI LIGI KUU ENGLAND, JE TIMU YAO YA TAIFA ITABOMOKA AU KUIMALIKA?



TULIJUA  England wako hatarini kufuzu kushiriki kwenye Kombe la Dunia, tulijua timu ya vijana chini ya miaka 21 ya England haitavuka hatua ya Makundi katika michuano ya Ulaya wakati wa kiangazi – walifungwa mechi zote tatu wao wakifunga bao moja tu.
Tulijua timu ya vijana ya England chini ya miaka 20 itafanya vibaya wakati wa michuano ya dunia Uturuki na kabla ya kutoka katika hatua ya makundi. Timu ya England chini ya miaka 20 haijawahi kushinda mechi tangu wakati Jamie Carragher na Michael Owen walipoichezea mwaka 1997.
Move over Brits: Brendan Rodgers failed to sign a single domestic player in the summer
Kaa pembeni Waingereza: Brendan Rodgers hajasajili hata mchezaji mmoja wa nyumbani wakati wa kiangazi
Manuel Pellegrini
Arsene Wenger
Tunacheki pembeni: Manuel Pellegrini na Arsene Wenger wameamua kuamini vipaji vya nje.

Klabu ambazo hazijanunua Waingereza

Arsenal  (wametumia pauni mil 42.5 kwa wachezaji wanne)
Chelsea (wametumia pauni mil 65.5 kwa wachezaji nane)
Liverpool (wametumia pauni mil 23.3 kwa wachezaji nane)
Manchester City (wametumia pauni mil 94.9 kwa wachezaji watano)
Manchester United (wametumia pauni mil 28.5 kwa wachezaji wawili)
Newcastle (Hajatumia kitu, wachezaji wawili, japokuwa mkopo wa Loic Remy ni pauni milioni 2)
Southampton (wametumia pauni mil 35.5 kwa wachezaji watatu)
Stoke (wametumia pauni mil 7 kwa wachezaji sita)
Tottenham (wametumia pauni mil 97.5 kwa wachezaji saba)
NB: Everton na West Brom wamesajili wachezaji wawili tu wa England kwa mkopo (Gareth Barry na Scott Sinclair)
Lakini usajili wa majanga kwenye soka la England unazidi kuwa kwenye hali mbaya, BIN ZUBEIRY inaangalia jinsi ambavyo klabu za Ligi Kuu England zinawapotezea wachezaji wazawa.
Klabu zimefanya usajili wa jumla ya wachezaji 150 wakati huu wa kiangazi, ni 34 tu (asilimia 22.66) kati ya 150 ndiyo Waingereza.
Chakusikitisha zaidi klabu sita kati ya saba ambazo zimemaliza kwenye saba bora msimu uliopita - Manchester United, Manchester City, Chelsea, Arsenal, Tottenham, Liverpool  – zote hazijasajili mchezaji hata mmoja wa Kiingereza.
Everton, ambayo ilimaliza nafasi ya sita imesajili mchezaji mmoja wa England, Gareth Barry tena kwa mkopo – hii inaonyesha ni jinsi gani vipaji vya wazawa vinakazi kutoka.
Kwa upande wa Fulham, ambao huwa wanachukua wachezaji wa mataifa mbalimbali wamenunua wachezaji wawili wa England - Darren Bent (29) ambaye alishindwa kuvuma Aston Villa na Scott Parker (32) umri umemtupa mkono.
Belgian: Marouane Fellaini was David Moyes only major signing in he transfer window
Mbelgiji: Marouane Fellaini alikuwa usajili mkubwa wa David Moyes kwenye dirisha hili la usajili.
£15.5million: West Ham's Andy Carroll was the most expensive Englishman bought in the transfer window
Pauni mil 15.5: staa wa West Ham, Andy Carroll alikuwa mchezaji wa Kiingereza mwenye thamani kubwa zaidi wakati huu wa kiangazi.
Steven Caulker
Swansea City's English midfielder Jonjo Shelvey
Wamenunuliwa: Steven Caulker na Jonjo Shelvey walihnunuliwa kwa pauni mil 9 na pauni mil 6

Wachezaji wa England walionunuliwa wakati wa kiangazi

Aston Villa - Jed Steer
Cardiff - Steven Caulker, Simon Moore, John Brayford
Crystal Palace - Dwight Gayle, Jack Hunt, Jerome Thomas, Kevin Phillips, Jason Puncheon (mkopo), Neil Alexander, Steven Dobbie, Barry Bannan
Everton - James McCarthy, Gareth Barry (mkopo)
Fulham - Scott Parker, Darren Bent (mkopo)
Hull - Tom Huddlestone, Curtis Davies, Steve Harper, Danny Graham (mkopo), Jake Livermore (mkopo), George Boyd, Allan McGregor
Norwich - Nathan Redmond, Carlo Nash, Gary Hooper
Sunderland - Duncan Watmore
Swansea - Jonjo Shelvey, Jernade Meade
West Brom - Scott Sinclair (mkopo), Lee Camp
West Ham - Andy Carroll, Danny Whitehead
Katika ya klabu zilizosajili waingereza ni Swansea, Sunderland, Aston Villa na West Brom wachezaji hawako kwenye akili za makocha.
Michael Laudrup amesajili wachezaji 10 wawili tu kati yao ni waingereza Jonjo Shelvey na Jernade Meade, kinda kutoka Arsenal.
Paul Lambert, msimu uliopita alisifika sana kwa kuwapa nafasi Waingereza kama Matt Lowton na  Ashley Westwood, lakini safari hii ameenda kusajili wachezaji sita kutoka nje na mmoja tu wa England Jed Steer kipa wa vijana chini ya miaka 19 kutoka Norwich. 
Paulo Di Canio amesajili wachezaji 14 – mmoja tu Muingereza ambaye anamiaka 19 Duncan Watmore kutoka klabu isiyokuwa na ligi ya Altrincham. 
Asilimia 50 ya wachezaji wa wazawa waliosajiliwa wakati huu wa kiangazi wamesajiliwa na timu zilizopanda daraja.
Na wachezaji hao ni wale ambao wanahaha kufufua vipaji vyao. Tom Huddlestone na Jake Livermore pale Hull, wanahaha kurudisha vipaji vyao baada ya kuuzwa na Spurs, na hawapo hata kwenye akili ya Roy Hodgson wakati Danny Graham alichemka Sunderland na sasa anajaribu bahati yake kwenye uwanja wa KC. 
From Russia with love: Willian cost Chelsea £32million from Anzhi Makhachkala
Kutoka Urusi: Willian ameigharimu Chelsea pauni mil 32 kutoka Anzhi Makhachkala
Tottenham Hotspur's Paulinho
Fernandinho
Muhimu: Wabrazil Paulinho na Fernandinho ni mfano kwa klabu kubwa kutoka

Umri tatizo England

35 - Frank Lampard
33 - Steven Gerrard
32 - Ashley Cole, Michael Carrick
31 - Phil Jagielka, Rickie Lambert
30 - Jermain Defoe
29 - Glen Johnson
28 - Leighton Baines, Ashley Young
27 - Wayne Rooney, Gary Cahill, James Milner
26 - Joe Hart, John Ruddy
25 - Fraser Forster
24 - Theo Walcott, Tom Cleverley
23 - Chris Smalling, Kyle Walker, Daniel Sturridge
22 - Andros Townsend, Danny Welbeck
21 - Phil Jones, Jack Wilshere, Steven Caulker
19 - Ross Barkley
18 - Raheem Sterling 
Kevin Phillips, Jerome Thomas na Jason Puncheon wametua Crystal Palace ni bora zaid kwa klabu hiyo. Simon Moore kipa namba mbili wa Cardiff, ametoka klabu ya daraja la kwanza ya Brentford. 
Idadi inathibitisha tatizo linalohatarisha fursa za wachezaji wa England wa kizazi cha sasa na kijacho.
Mwenyekiti mpya wa FA, Greg Dyke, amechukua nafasi ya David Bernstein na ni rahisi kwa wachambuzi kuandika kutaka kuona mabadiliko. Timu ya taifa ya England inasimamiwa na FA na chama hicho kinatakiwa kulinda mustakabali wa wachezaji wa England.
Sheria yoyote itakayotungwa inaweza kuingiliwa na sheria za soka za Ulaya, mfano wakiamua kuweka sheria ya kutumia wachezaji sita wa England katika kila mechi sheria za Ulaya zitatengua hilo.
Ukweli ambao ni mgumu kuukubali ni kwamba Ligi Kuu England ni ligi ya dunia na FA imeshazidiwa nguvu. Tangu ilipojitenga mwaka 1992 na kuzubaa kwa FA imeruhusu ligi hiyo kuwa juu zaidi kwenye soka la England.
Veteran: Frank Lampard is the oldest member of the current England squad at 35
Babu: Frank Lampard ndiyo anaumri mkubwa zaidi kwenye kikosi cha sasa cha England miaka 35.

Kadiri mikataba minono ya matangazo inavyozidi kuingiwa ni pigo kwa Ligi Kuu na Klabu zake. Timu zinakuwa zikihaha kufanya biashara zaidi na FA inabaki ikiangalia nidhamu tu.
Maendeleo ya wachezaji wa England yako mikononi kwa klabu za ligi kuu. Lakini sasa hivi hawaaminiki tena, klabu zimezidi kujuza watoto kutoka nje ya England kwenye timu zao za vijana.
Ross Barkley
Raheem Sterling
Sura mpya: Ross Barkley (19) na Raheem Sterling (18) ndio wachezaji makinda zaidi kwenye kikosi cha England.

Na wakati huu ligi inaingia kwenye msimu mpya timu ya taifa sasa mashabiki wa England wanaachwa wakiwa na hofu juu ya mustakabali wa muundo wa timu yao ya taifa siku zijazo.
Hatari zaidi iko kwa Wales ambao safari hii hakuna hata mchezaji mmoja aliyesajili wa timu za ligi kuu, lakini Gareth Bale anawabeba kwa kwenda Hispania.

ASKARI WA TATU WAPOTEZA MAISHA WAKIJARIBU KUWAOKOA MATEKA WASTEGATE



Siege: Kenya security personnel take cover outside the Westgate Mall after shooting started inside the mall early Monday morning, Sept. 23, 2013
Assault: Kenya Security personnel take cover outside the Westgate Mall after firing started inside the mall early Monday morning - Kenya's military launched a major operation at the upscale Nairobi mall and said it had rescued "most" of the hostages
Ongoing Military Operation: Kenya security personnel take cover outside the Westgate Mall
Waiting and Watching: Onlookers gather on a hill to observe the Westgate Mall after a bout of heavy gunfire just after dawn in Nairobi, Kenya Monday, Sept. 23, 2013
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Standoff: A Kenyan police officer (L) and a Kenya Defense Forces soldier (R) prepare for an incoming fire at the Oshwal Centre adjacent to the Westgate shopping mall where the hostage situation continues in Nairobi, Kenya on early Monday morning
Patience: Members of Kenya's security forces man a checkpoint outside the Westgate Mall in Nairobi, Kenya early Monday, Sept. 23, 2013
Kenyan policemen gather for a briefing near the Westgate Shopping Centre in the capital Nairobi, September 23, 2013. Heavy and sustained gunfire was heard from the Kenyan shopping mall on Monday morning
A truck of security forces arrives at the Westgate Mall after a bout of heavy gunfire just after dawn in Nairobi, Kenya Monday, Sept. 23, 2013.



Kenyan paramilitary officers walk towards a small shopping arcade adjacent to the Westgate shopping mall where the hostage situation continues in Nairobi, Kenya on Sunday
Rescue mission: An image from AFP TV shows military forces taking position inside the shopping mall
Kenyan police officers take cover to prepare for the incoming fire at the Oshwal Centre adjacent to the Westgate shopping mall where the hostage situation continues in Nairobi, Kenya, in the early hours of 23 September 2013
Assault: A Large number of troops from the kenya defence force arrived to strengthen the already formidable numbers of troops available as a Kenyan army helicopter flies low near the Westgate mall in Nairobi on Sunday
Tense: Kenyan paramilitary officers walk towards a small shopping arcade adjacent to the Westgate shopping mall where the fate of the hostages remained unclear on Monday morning
Armed response: Kenyan troops with machine guns take up position in the mall. The terrorist group al Shabaab demanded that Kenyan troops leave Somalia where they have pushed the militants on to the defensive in the past two years as part of an African Union-backed peacekeeping mission
Fleeing to safety: A soldier directs people up stairs inside the Westgate shopping mall after a shootout in Nairobi, Kenya
Laying siege: Armed police crouch down and take position during a gun battle with Islamic terrorists at the Westgate Mall in Nairobi, Kenya on Saturday
Lock-down: Kenya security personnel walk to their positions outside the shopping mall as the siege continued yesterday
An injured person arrives in an ambulance at the Aga Khan Hospital following an attack at the Westgate Mall where gunmen opened fire and threw grenades in Kenya. Pictured right, relatives help a woman at the Nairobi City Mortuary after she identified the body of a victim of the Saturday attack 
Army: Soldiers were drafted in to help police tackle the gunmen - terrorists from the Somali al-Shabaab organisation, which has links to al-Qaeda
Kenyan policemen and soldiers taking position as they battle Somali militants who have killed at least 68 people and injured 175 at a Nairobi shopping center
A Kenyan soldier holding a dog by its leash enters the main gate of Westgate Shopping Center as the military tried to overpower the terrorists on Sunday
Escape: Women carrying children run for safety after al Shabaab terrorists stormed Westgate shopping center in Nairobi, Kenya armed with guns and grenades
Ordeal: People come out from hiding under a car next to bodies in a car park as police search for the armed radicals
Escape: This family, who had been trapped inside the shopping centre, support each other as they escape from the scene
Terrified civilians are among the fortunate who were evacuated from a shopping mall following a terrorist attack where at least 68 people were dead
Fleeing: A police officer holds a gun to provide cover for customers running out of the Westgate shopping mall following the terrorist massacre that began on Saturday around noon (local time)
Courage under fire: Kenyan troops taking position to battle the al-Qaeda-affiliated troops in Nairobi on Saturday
A wounded soldier is removed from an ambulance at an emergency staging area near the Kenyan mall where gunmen shot dead at least 59 people
Bloodied: Elaine Dang (right), an American believed to be from San Diego and working in Kenya, was injured on Sunday. She is now recovering in hospital
A Kenyan police officer runs towards a crowd outside the Westgate mall in Nairobi on Sunday as authorities fought to free hostages who have now been trapped inside for more than 24 hours. Pictured right, people walk and crawl out of the shopping center with their hands raised following the militant attack
Anxious: Onlookers stand along the road and look from a distance at Westgate Shopping Centre, where gunmen are holding hostages, in Nairobi on September 22, 2013
Saved: A woman sobs as she is brought out of the shopping center in a cart after terrorists launched an attack on Saturday
Rescue: Armed police guide a woman carrying a child to safety at Westgate Shopping Centre in Nairobi after terrorists stormed the building
Kenyans lie on stretchers to donate blood for the victims of the Westgate terror attack on Sunday after the country's president urged volunteers to come forward following the atrocity
Carried to safety: A policeman carries a baby along with his machine gun (left) while a Red Cross worker holds a screaming child after masked gunmen stormed an upmarket mall and sprayed bullets on shoppers 
Staging: Kenya Defense Forces soldiers prepare for the final push to rescue the hostages and neutralize the gunmen on Sunday in what was being described as a 'delicate' situation
Emotional: Kenya's President Uhuru Kenyatta (center) makes a statement to the nation following the overwhelming numbers of casualties from the Westgate mall terror attack. Kenyatta said his nephew and his fiancée were among the 59 dead

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...