Sunday, September 6, 2015

Utamu wa binamu episod 1


Chriss ni kifupi cha jina Christopher jina nililopewa na mama yangu mara tu baada ya kunizaa.Alinipa jina hilo ambalo linafanana na jina la baba yangu kama kumbukumu yake mara baada ya baba yangu kufariki ningali nikiwa tumboni.
Chriss kama wengi wanavyopenda kuniita nimezaliwa katika mazingira ya kijijini ambapo ata huduma za kijaamii kama umeme, maji na hospitali ni shida.Nilizaliwa huko mkoani Iringa na shughuli kubwa ya mama yangu ni kilimo tena kilimo cha jembe la mkono.
Katika hayo hayo mazingira magumu niliweza kusoma na kufaulu vyema mpaka nikafanikiwa kupata degree yangu ya kwanza katika chuo kikuu cha Dodoma.Baada ya hapo nilirudi kijijini kwenda kuendelea na maisha yetu.Kipindi nilichomlaiza chuo kilikuwa ni kipindi kigumu sana kwani mama yangu alikuwa mgonjwa sana akisumbuliwa na ugonjwa wa saratani ya titi.
Hali hiyo ya ugonjwa ilinipelekea mimi kutumia hela zote za akiba nilizojiwekea kutokana na mkopo niliokuwa nikipewa na serikali.Ndoto zangu za kuanzisha biashara kwa kutumia pesa hizo zikayeyuka.Nashukuru ingawa hela ziliisha lakini mama alipona na kurudi katika hali yake ya kawaida.
Ni mwaka wa pili sasa tangia nimalize chuo na sijapata kazi.Hali inayonifnya nizalilike sana pale kijijini kwetu.Vijana wenzangu ambao hawakupata nafasi ya kusoma wamekuwa wakinisimanga kwa madai kuwa nilipoteza mda wangu kusoma mpaka chuo kikuu.
Watoto wa kike nao wamekuwa wakinikataa kwa madai kuwa sina kitu cha kuwapa.Hali ilikuwa mbaya zaidi pale mpenzi wangu niliyempenda kwa dhati alipoamua kuniacha na kuolewa na mwanaume mwingine kwa madai kuwa amechoka kunisubiri.
Maisha ya kijijini yalinichosha sana na nikaanza mikakati ya kwenda mjini mahali ambapo niliamini ningeweza kupata kazi kirahisi.Mtu wa kwanza kumfikiria ni mjomba wangu ambaye alikuwa jijini Mbeya.Huyu ni tajiri mkubwa sana lakini ndugu zake pamoja na mama yangu wamemtenga kwa madai kuwa ni mbinafsi, mchoyo na pia wanamuhusisha na imani za kishirikina.
Tabia yangu ya kuishi vizuri na kila mtu na kutoamini imani za kishirikina ilinifanya mimi niweze kupendwa sana na mjomba wangu huyo.Katika ukaribu huo mjomba alinihadi kunitafutia kazi kama tu nitaweza kwenda kwake huko jijini Mbeya.
Basi siku moja alinipigia simu na kuniomba niende kwake kwa sababu mfanya kazi wake wa kazi za nje(houseboy) aliondoka ghafla hivyo nikamsaidie saidie kazi ndogo ndogo huku na yeye akiendelea kunitafutia kazi.
Kwa kuwa nilishachoka kukaa kijijini na tayari nilishakuwa na jeraha ya kuachwa na mpenzi wangu niliona hiyo ndio sababu pia ya kondoka kijijini.Nilims
hirikisha mama yangu swala hilo ingawa yeye alinipinga vikali kwa kigezo kuwa mjomba wangu huyo si mtu mzuri kwa sababu ana mambo ya kishirikiana.
Kwa kuwa mimi sikuyaamini hayo maneno nikijua ni chuki tu za ndugu kwa sababu ya mafaniko ya mjomba hivyo nilimshawishi mama mpaka akakubali.Basi nilijiandaa nikapanda gari na kuelekea jijini Mbeya.Siku nasafiri mjomba alinieleza kuwa yeye na mkewe wamepata safari ya kwenda Zambia ila nikifika nitapokelewa na mwanaye yaani binamu yangu Lisa.
Kweli nilivyofika stend nilipokelewa na binamu yangu Lisa.Tangia nikiwa stend nilishitushwa sana na uzuri aliokuwa nao dada binamu huyo.Nikajikuta nikimtamani na kujisemea laiti ningepata demu kama huyu ningemtia mimba siku ya kwanza tu atakayenifunulia mapaja.Tulifika nyumbani tukamkuta binti mwingine ambaye bila hata kutambulishwa nilijua tu alikuwa ni dada wa kazi(house girl).
Samia huyu ni kaka yangu binamu anaitwa Chrisss.Chriss huyu ni dada yetu wa hapa nyumbani anatusaidia kazi anaitwa Samia.Huo ulikuwa ni utambulisho mfupi mara baada tu ya binit huyo kutupokea mizigo.Alionekana mwenye raha na aliyefurahia maisha ya hapo nyumbani.
Basi nikawa nimeingia kwenye jumba la mjomba jumba dogo sana lakini la kifahari.Nilioneshwa chumba nikaweka mizigo na baada ya kuoga kisha kula niliamua kwenda kulala.*****
Taswira ya umbo na sura ya dada yangu binamu mtoto wa mjomba zilitosha kabisa kuninyima usingizi usiku wa siku ya kwanza kufika katika jiji la Mbeya.Licha ya ugeni niliokuwa nao lakini mapokezi mazuri ya binti huyo yalinifanya nivutiwe naye ghafla.
Uzuri wake wa umbo la kibantu ulinimaliza tangu alipokuja stend kunipokea.Japo alikuwa ni ndugu yangu lakini sikujua kwa nini hali hiyo ilinitokea.Nilijaribu kuzuia hisia zangu lakini ilishindikana nikajikuta mtarimbo wangu ukiwa unasimama bila adabu na kuinua sehemu za mbele ya suruali yangu kila nilipovuta taswira ya utamu aliokuwa nao kutona na umbo lake na sura yake nzuri aliyojaliwa na mungu.
Ingawa ni usiku lakini kwa kweli nilishindwa kulala katika chumba nilichokaribishwa nilale.Ndio nilishindwa kulala maaana kwenye chumba hicho ndicho alikuwa akilala binamu yangu huyo na alinipisha kutokana na uhaba wa vyumba.
Kwenye chumba hicho kulikuwa na picha za binti huyo na kila nilipozaingalia sehemu zangu za siri ziliumuka na kusababisha kukosa usingizi.Nilisindwa kuelewa kwa nini hali hiyo ilinitokea siku hiyo wakati mimi nilishazoea kujizuia na huwa sina taamaa za kijinga.Kwa mara ya kwanza nilipata hamu ya kujichua(kupiga punyeto) kwa kungalia picha hizo za dada binamu yangu.
Wakati naendelea kuwaza jinsi ya kupiga punyeto ili niweze kulala nilisikia mtu akigonga mlango wangu.Nilishindwa kuelewa nifanyaje maana viungo vyangu vya siri vilikuwa vimesimama wima. “samahani binamu naomba ufungue mlango mara moja nichukue mafuta yangu niliyasahau ili asubuhi nisikusumbue” alisema mgongaji wa mlango huo kuashiria kuwa alikuwa ni binamu yangu ambaye picha zake ndo zilikuwa zikininyima usingizi.
Nilijifunga vizuri kwa kutumia shuka nililokuwa nimejifunika ili kuficha mtarimbo ambao ulikuwa umesimama kama nguzo ya umeme.Bado haukutaka kukaa vizuri lakini nilijitahidi kuulazimisha ulalie pembeni kisha mimi nikaenda kufungua mlango.
“Samahani kwa usumbufu alisema binamu huyo mara baaada ya kunipa tabasamu zito”Nilibaki nimemtumbulia macho mara baada ya maneno hayo maana alikuwa ndani ya khanga moja ambayo ilikuwa imetepeta maji kuashiria kuwa alikuwa ametoka bafuni kuoga.
Na hiyo ndo sababu alikuwa anataka mafuta yake akajipare usiku huo.Nilipitisha jicho la wizi kuanzia kifuani kisha tumboni na baadaye chini ya kitovu nikajikuta nazidi kusimka kwa jinsi dada binamu alivyokuwa mtamu.
Niliporudisha tena macho yangu juu nilikutana na macho ya dada binamu yakiwa laini yaliyolegzwa kama mtu aliyetoka kufanya mapenzi mda huo.Wote tuliganda na kila mmoja akimuangalia mwenzake kwa jicho la matamanio.Ghafla…… ***********ITAE
NDELEA********

No comments:

Post a Comment

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...