Friday, October 7, 2016

Mahaba ya bodaboda yule

"BODABODA YULE"
"Ilipoishia basi pale akanisogelea akaanza kuni..........."
                                Sehemu ya ( 2 )
 Akaanza kunishika kimahaba maeneo ya mgongoni kuja hadi kwenye kiuno mpaka makalio nikajikuta naangusha kanga niliyovaa , mikono ya bodaboda yule ilinisisimua na kuniingiza ktk ishia Kali za mapenzi nilijikuta nashindwa kujizuia hapo Rashidi alininyanyua hadi kitandani akaniacha kdg akashuka kitandani Mimi nikiwa bado cjielewi akaenda kuchukua asaliii,
   Nilimshaangaa asali ile ya nini , pale akaanza kunivua chupi yangu na kunipaka asali mwili wote kuanzia kwenye mdomo mpaka unyayo nilishikwa na butwaaa nilijiuliza sana analengo gani .
  Akaanza kunilama kimahaba xaxa alipofika kwenye kisimi , jamani raha jamani alinilamba mpaka ucngz ukaanza kuninyemelea .
  RASHID alichomoa dudu lake akaleta mdomoni nimlambe xaxa Mimi sikuwai kufanya jambo lile lkn kwakuwa nilimpenda ckujali yote no mapenz 2,
     Bas ctalehe ilikuwa nzur kwani alikuwa mbunifu Wa hali ya juu, alimaliza na kuanza kuniomba msamaha , samahani sana Stella ibilisi alinipitia ckutegemea kama yangetokea haya mmmh ucjali RASHID kawaida tu ata naomba unisamehe kwa yote niliyokufanyia .nilimuacha akipanda pikipiki yake namimi nikaludi ndani lkn alivyo ondoka tu maswali mengi nilibaki Nayo kichwani yule nani ana Malachi gani Kala ii nimetembea nae bas nilijikuta nakuwa mnyonge.
   Sasa miezi imepita tumengeneza uhusiano na bodaboda yule lkn cku moja shoga yangu Suzy alitamani amuone SHEMEJI take màana amechoka kumsikia kwenye simu na story zangu juu ya mapenz yake alikuwa na hamu ya kumjua , nikaona si mbaya kumtambulisha nilimpigia simu atufuate kazni .
"   Mbona umechelewa sana mpenz tangu mda ule au ulikuwa ktk mchepuko?" ni maneno ya Stella akimwambia RASHID , hapana wife nilichelewa foleni mmh niambie my wife , safi uyu pemben in rafki yang anaitwa Suzy na Suzy uyu ndo yule husband to be naimani shauku yako imeisha.....RASHID alinipakia na Suzy , Alianza kupanda Suzy na Mimi nikafuata safari ikaanza ..
  Wakat safali inaendelea Suzy alikuwa akimshika kiuno na kumtekenya RASHID nililigundua ilo baada ya kuniambia "acha utani bana Stella me ndo deleva tusijeanguka bure , mi cjamgusa .
  Alinipeleka hadi home nikashuka nikamuacha Rashidi anafikisha Suzy kwao , hakuwa mbali na kwangu me niliingia ndani nikapumzika kwa dakika baada ya muda kidogo nilishituka kuona SMS imeingia ikisomeka ivi" never chance come twice" SMS ikitokea kwa Suzy nilijiulza anamaana gani ckupata jibu nikafunga safar mpaka kwa Suzy wakat nakalibia naiona pikipk ya RASHID hash tangu mda ule RASHID ajaondoka anasubli nn sasa ckupata jibu nilishikwa na shauku yakujua nini kinaendelea nilifika mpaka mlangoni viatu vya bodaboda yule avikuonekana nje xaxa yupo nikazunguka dilishani maskini ya mungu Suzy ..........................itaendelea by .edwin

Jinsi ya kumfikisha mwanamke kileleni

MKOJOZE HARAKA      

Wanawake wengi wanapewa raha na utamu kila siku,lakini ni wanawake wachache sana wanaopata nafasi ya kufika kileleni.Hapa nitawaelezea njia za kuweza kumfikisha mwanamke kileleni kwa urahisi.

1: KUFIKA KILELENI KWA NJIA YA KISIMI.

Kumfikisha kileleni mwanamke kwa njia ya kisimi, ni pale ambapo hisia za raha ambazo ni zaidi ya kawaida,zinaanzia kwenye kisimi,zinatengeneza mawimbi ya utamu na kuyasambaza mwili mzima hadi kwenye ubongo.Kwenye uke wa mwanamke kuna sehemu kama 4 ambazo zimejaa nerves z inazosababisha mwanamke apate raha tena sana wakati wa kupeana raha na utamu,na mojawapo kati ya sehemu hizo 4 ni kisimi.Ingawa ni kweli kisimi ndio kimejaa raha na utamu,lakini wanawake wanatofautiana linapokuja suala zima la kumsisimua mwanamke kupitia kisimi chake.Wengine inabidi utumie nguvu kidogo,wengine kawaida na wengine taratibu kutegemeana na Unsensitive wa visimi vyao.

Ziko njia mbili za kumfikisha mwanamke kileleni kwa kutumia kisimi :-

A: KUTUMIA KIDOLE..

*Hakikisha vidole vyako ni visafi na kucha zako ni fupi sana.
*Kabla hujaanza kumsisimua kisimi chake,hakikusha ushatumia zaidi ya dk 10 kumsisimua maeneo mengine ya mwili wake kama vile matiti,lips,mapaja,makalio n.k ( Inatakiwa uke wake uwe umeloa kabla hata hujaanza kusisimua kisimi chake )
*Tumia majimaji ya uke kukiloanisha kidole chako kwani ukimchezea wakati uke wake ni mkavu utaishia kumuumiza badala ya kumpa raha.
*Anza kusugua kisimi chake taratibu huku ukiangalia kwa makini jinsi anavyopokea.
*Baada ya dk 1 ongeza speed kidogo kisha angalia jinsi anavyolipokea zoezi hilo.
*Usiongeze na kupunguza speed mara kwa mara unaweza ukampotezea mood ( Ataishia kusikia raha na utamu lakini hatafika kileleni )

*Sugua kisimi kwa mpangilio au direction inayoeleweka kwa zaidi ya dk 5 bila kubadilisha ili asipoteze mood katikati ya safari yake ya kufika kileleni ( kama ulikuwa unasugua kwa kutengeneza duara ) basi fanya hivyo mpaka dakika 5 ziishe,kama ulikuwa unasugua kutoka juu ya kisimi kwenda chini au chini kwenda juu,basi fanya hivyo mpaka dakika 5 ziishe ndio ubadilishe.
*Uvumilivu ndio siri ya mafanikio,kwa sababu mpaka afike kileleni ni baada ya dakika 10 au 15 kutegemeana na kisimi chake kipo sensitive kiasi gani au yeye mwenyewe ana hamu kiasi gani.
Njia ya pili ya kumfikisha kileleni kwa kutumia kisimi ni uhakika zaidi na ni shortcut zaidi kuliko hii ya kwanza.njia ya pili ni kwa kutumia ULIMI.....Endelea kufuatilia zaidi ujue jinsi ya kutumia njia hii.

Thursday, October 6, 2016

HATIMAYE YANGA YAKODISHWA MIAKA 10 KUPATA TAARIFA BOFYA LINK

Yanga-makao makuu
Baada ya kusubiri kwa muda hatimaye Bodi ya wadhamini ya klabu ya Yanga imesaini mkataba wa kuikodisha timu yao kwa kampuni ya Yanga Yetu Limited kwa kipindi cha miaka 10.
MUHTASARI WA MKATABA.
1. Bodi ya Wadhamini wa Young Africans Sports Club, (ambayo hapa inajulikana kama Mmiliki”) imeingia tarehe 3 September, 2016 Mkataba wa kukodishwa na kampuni ijulikanayo Yanga Yetu Limited (inayojulikana hapa kama “Mkodishwaji” kwa muhtasari wa maazimio yaliyoafikiwa katika Mkutano Mkuu wa Young Africans Sports Club uliofanyika tarehe 6 Agosti, 2016 ulitambua kuwa Young Africans Sports Club (anayejulikana hapa kama “YANGA”):
1.1 KWA KUWA, Timu ya Soka ya Mmiliki ni kongwe na yenye mafanikio kuliko timu ya soka nyingine zilizoko katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye thamani kubwa kiutamaduni na kwa urithi wa Taifa, licha ya jitihada zake zote, inakabiliwa na changamoto za kifedha katika kuiendesha timu yake ya mpira wa miguu, kwa kuwa na usajili mdogo wa uanachama, ukosefu wa mapato,  ya ada za Wanachama, mifumo isiyo na ufanisi ya kiuendeshaji, kushindwa kujipatia kipato cha kibiashara kutoka katika hati miliki na nembo za kibiashara za Timu ya Soka ya YANGA kutoweza kujiendesha kibiashara na Shirikisho la Mpira wa Miguu la Tanzania (TFF)- ambalo kwa mfululizo linasababisha YANGA kuiendesha Klabu yake kwa hasara na kuwa tegemezi kutoka kwa michango ya wahisani na kwa mikopo na kukabili changamoto hizi; na Mkutano wa Wanachama wa YANGA tarehe 6 Agosti 2016 uliazimia kugeuza hali hii kwa kukodisha Timu ya Soka ya YANGA ambayo ilikuwa inajiendesha kwa hasara na mapato madogo kupitia nembo yake na hakimiliki yake  (jina na nembo) kwa muda wa Miaka (10), ili kuikinga Klabu kutoendelea kujiendesha kihasara katika kipindi cha Miaka (10) ya ukodishwaji, ijipange  kiuwezo ili Timu ya Soka ya Mmiliki na hakimiliki za jina lake na nembo zitakapo rejeshwa baada ya kukodishwa kwa kipindi cha Miaka (10), YANGA itakuwa inaweza kujiendesha yenyewe na iwe na uwezo wa kifedha na iweze kushindana kikamilifu katika shughuli za mpira wa miguu.
  1. Yanga Yetu Limited (inayojulikana hapa kama “Mkodishwaji”) ni Kampuni iliyoundwa ili iweze kuingia katika Mkataba na YANGA ili iweze kutimiza malengo ya Klabu kama yalivyo azimiwa katika Mkutano wa Wanachama wa YANGA uliofanyika tarehe 6 Agosti, 2016.
  2. Baraza la Wadhamini wa Young Africans Sports Club baada ya mazungumzo na Mkodishwaji linapenda kuwafahamisha Wana YANGA kuhusu mambo muhimu yaliyomo kwenye Mkataba Huu ulioingiwa kwa kuzingatia na kwa haki miliki kutolewa kwa Mkodishwaji kwa njia ya Mkataba Huu, kwa kukodisha Timu ya Soka ya Mmiliki na haki zake zote, mamlaka na majukumu yote, jina lake  na nembo kwa ajili ya kutumika kiamani na kibiashara katika kuziendesha shughuli za Timu ya Soka ya Mmiliki bila ya kuwa na kuingiliwa katika muda wa  Mkataba huu kwa muda wa Miaka (10) kuanzia Tarehe ya Ufanisi ya 1 Septemba, 2016, ila kama utasitishwa kabla kufuatana na matakwa ya Mkataba:
3.1 Mkodishwaji atailipia YANGA deni la Shilingi bilioni kumi na moja na milioni mia sita na sabini na sita tu (Tshs. 11,676 billioni) inayodaiwa kama Mmiliki na Mkopeshaji mmoja.
3.2 Mkodishwaji atailipa YANGA Tshs 100 millioni kwa mwaka ambayo YANGA itawekeza kiwango kisichopungua (90%) ili kuimarisha mtandao wa Matawi yake.
3.3 Mkodishwaji atailipa YANGA katika mwaka wa fedha wowote ule kukiwa kuna faida ya fedha taslim ya asilimia 25% fedha ambayo YANGA itaitumia kujenga uwanja wake wa mpira.
3.4 Mkodishwaji atalipa hasara za uendeshadji zilizoko katika Mkataba kutoka kwenye mfuko wake bila ya kuweka madai kwa YANGA.
3.5 Mkodishwaji ataanza kuwekeza kwa vitega uchumi kuanzia siku (90) ya Mkataba katika mafunzo na vifaa, ambavyo kutakuwepo kiwanja cha mafunzo ya mpira katika sehemu atakayo ona inafaa kwake yeye Mkodishwaji.
3.6 Mkodishwaji atahakikisha kuwa majukumu yote ya kifedha ya Timu ya Soka ya YANGA ikijumlishwa ada ya usajili zinazotakiwa kuanzia Tarehe ya Ufanisi na majukumu mengine ya siku zijazo yanalipwa kulingana na mahitaji ya YANGA mapema kutoka kwenye mfuko wa Mkodishwaji.
3.7 Mkodishwaji atahakikisha kuwa Timu ya Soka ya YANGA haitamaliza chini ya nafasi nusu mwisho wa msimu wa ligi ya Tanzania Premium League wakati ikiwa ndani ya kipindi cha Mkataba.
3.8 Mkodishwaji atahakikisha kuwa Timu ya Soka ya Mmiliki iliyokodishwa katika kipindi cha misimu 3 mfululizo itamaliza ikiwa ni mshindi wa nafasi 2 za juu kwenye Tanzania Premium League.
3.9 Mkodishwaji, kwa kila mwaka atafadhili mashindano ya mpira katika mfumo utakao amuliwa na yeye Mkodishwaji kwa Timu ya Soka kwa vijana wenye umri chini ya miaka (18) na kila Tawi la Wanachama wa YANGA litaalikwa kutuma timu yake kushiriki katika shindano hilo.
3.10 Mkodishwaji atakabidhi kwa YANGA tuzo zozote au Nishani yoyote Timu ya Soka ya Mmiliki ikipata, na kuitaarifu YANGA kabla, pale itakapo wezekana, ili YANGA iweze kumteua mwakilishi wa kupokea tuzo hiyo kwa kuitambua Timu ya Soka ya Mmiliki.
3.11 Mkodishwaji ataingia katika Mikataba yote ya ufadhili au mikataba yaleseni kwa kuitisha zabuni kupitia Zabuni za Umma.
3.12 Mkodiswaji ataunda na kuiendesha Timu ya Mpira wa Miguu ya vijana kulingana na kanuni na miongozo ya TFF.
3.13 YANGA itateua moja kati ya kampuni Tano (5) za Ukaguzi Kongwe Duniani wa Mahesabu zije kukagua kwa kila mwaka hesabu za Mkodishwaji kuhakikisha hakuna ubadhirifu.
3.14 YANGA itakuwa na haki ya kipekee kabla ya Tarehe ya Ufanisi wa Mkataba huu kiwango chochote ambacho kinastahili kupata kutoka   TFF, ikiwemo Mkataba wa Azam TV ambao unakadiriwa kuwa shilingi milioni mia tatu (300,000,000) kwa matangazo ya msimu uliopita, mikataba ya ufadhili, madeni ambayo haijalipwa, fedha za zawadi, VAT kutoka TFF na fedha zingine zote zitapewa umuhimu wa nafasi ya kwanza katika matumizi ya kukamilisha majukumu ya zamani ya Timu ya Soka ya YANGA ambayo yalijilimbikiza na hayakuwa wamelipwa.
3.15 Mkataba huu utakapo fikia ukomo, YANGA itakuwa na haki ya kurejesha kile ilichokikodisha.
  1. Ilikubaliwa kwamba YANGA:
4.1 Itajitahidi mnamo kipindi cha miaka miwili ya Mkataba itakuwa na Wanachama hai 100,000 na kwa kila Wanachama 100,000 itateua Mjumbe mmoja kwenye Bodi ya Wakurugenzi ya Mkodishwaji.
4.2 Itafanya kila juhudi ya kuongeza ardhi inayohitajika katika Makao Makuu yake yaliyopo mtaa wa Twiga ili iweze kujenga uwanja wa mpira unaofaa, ambao Mkodishwaji atawajibika kuchezea michezo yake ya Timu ya Soka ya YANGA, kwa masharti yatakayo kubaliwa baina ya Pande zote za Wahusika.
4.3 Itakuwa na haki katika wakati wowote ule ndani ya kipindi cha Mkataba kusitisha Mkataba ili mradi imfidie Mkodishwaji hasara zote za nyuma, ilipe malipo yote yaliyofanywa kwa YANGA na Mkodishwaji, inachukua mali zilizowekezwa na Mkodishwaji na kumfidia mapato ya siku zijazo – zote, hizi zikiwa zimetathminiwa na moja ya Kampuni za Wakaguzi (5) Kongwe Duniani.
4.4 Ikiwa Mkodishwaji atakarabati au atatumia mali yoyote ya YANGA ataifidia YANGA kwa masharti yaliyokubaliwa kwa masharti tofauti ya Mkataba Huu.
4.5 Mkodishwaji atakuwa na haki ya kipekee ya kiwakilishi (Exclusive Power of Attorney) kwa YANGA kufanya mikataba na TFF, CAF & FIFA kwa niaba ya YANGA bila ya kuingiliwa kati na YANGA lakini anapaswa atoe taarifa kuhusu uwakilishi huo kwa Baraza la wadhamini, kuanzia Tarehe ya Ufanisi wa Mkataba Huu pamoja na haki ya uwakilishi wa YANGA kwa: i) kuunda Kamati zinazohitajika na TFF, CAF na FIFA kuiendesha Timu ya Soka ya Mmiliki iliyokodishwa ii) kusajili au kulisimamisha benchi la ufundi na wachezaji kutoka Timu ya Soka ya YANGA, iii) Kuwa Msemaji Mkuu wa Timu ya Soka ya YANGA kwa Umma.
  1. KUFUNGA.
5.1 Bodi ya Wadhamini wa YANGA inapenda kumshukuru Bw. Yusuf Mehbub Manji kwa kupendekeza masharti bora kuliko yale yaliyoazimiwa na kukubalika kwa Wanachama kwa manufaa ya YANGA, na tunampigia saluti uchangiaji wake usio na choyo kwa manufaa ya YANGA.
5.2 Tungependa kuufahamisha Umma kwamba Bw. Yusuf Mehbub Manji ametaka kujiuzulu kutoka Uenyekiti wa Klabu ili kuepusha mgongano wa kimaslahi, lakini tumelikataa ombi lake hili – kwa vile nafasi ya Mwenyekiti wa Klabu, Wanachama wameonyesha kwa kura zao kuwa wana imani na uongozi wake, kwa vile wakati wa majadiliano, haweki maslahi yake binafsi juu ya yale ya Klabu, lakini anajaribu kadri iwezekanavyo kuisaidia Klabu kuweza kujitegemea kifedha haraka iwezekanavyo ili kuendelea kushindana katika mpira wa miguu kwa kiwango cha juu zaidi, hapohapo akilinda urithi wa Klabu na utamaduni – sifa ambayo tunaihitaji katika Mwenyekiti wa YANGA na kama akijiuzulu kutoka kwenye Klabu, tutakuwa tumempoteza kiongozi mwenye uzoefu na maadili ya  hali ya juu wakati tunapofanya mageuzi ya YANGA.
Tunachukua fursa hii kuwafahamisha Wanachama na Mashabiki kuwa   kuna kazi nyingi kwa faida ya YANGA ambazo Bw. Yusuf Manji anazifanya ambazo hazionekani mbele ya jamii: kitu ambacho kinahitajika katika Klabu. Tunapenda kuwafahamisha Wanachama na Mashabiki wawe waangalifu na maneno yao, kwa vile kauli za maneno ya matusi zinaumiza na zinawavunja moyo viongozi kama Bw. Yusuf Manji ambao tunafahamu hawagombei nafasi za Uongozi wa ndani ya Klabu, kwa sababu wanachukizwa na kutukanwa na Wanachama na hivyo basi, tunawapa mawaidha Wanachama, kwa manufaa ya Klabu watoe maoni yao kuhusu mambo ya soka na utawala wa soka, na siyo kwa watu na familia zao.
5.3 Sasa tunapenda kuwafahamisha Wanachama wa YANGA na Wapenzi wa YANGA kuwa kilichotiwa saini baina ya Pande Zote ni Mkataba ya kihistoria, na kama yakitekelezwa na pande zote mbili, YANGA itanufaika kwa hali ya juu mno kutokana na mazingatio na ushahidi iliyoupata kupitia Baraza lake la Wadhamini kwenye Mkataba wa ukodishwaji.
5.4 Mwisho, tumeombwa na Bw. Yusuf Manji tutangaze hadharani Mkataba Huu, hata hivyo bado tunajadiliana kama kutangazwa huko kutakuwa kwa manufaa ya Klabu, kwa kuwa, kwa upande mmoja ni vema kuwa na uwazi, lakini kwa upande mwingine washindani wa Klabu yetu   wataiga Mkataba wetu kwa manufaa yao.
YANGA DAIMA MBELE, NYUMA MWIKO
BODI YA WADHAMINI WA YANGA

urejeo wa Mtibwa Sugar katika mbio za ubingwa VPL

dsc_0239
Na Baraka Mbolembole
RASHID Mandawa tayari amekwishafunga magoli matatu katika michezo 7 ya ligi kuu Tanzania bara msimu huu akiwa na kikosi cha Mtibwa Sugar FC ya Turiani, Morogoro.
Ni dalili nzuri kwa kikosi cha kocha Salum Mayanga ambaye amerejea katika timu hiyo akichukua nafasi ya ‘Mwanafunzi wake’ Mecky Mexime.
Mtibwa-mabingwa mara mbili mfululizo wa VPL miaka ya 1999 na 2000 imeanza ‘kukaa sawa’ baada ya kuwapoteza wachezaji wake wengi waliojiunga timu nyingine.
Golikipa, Hussein Shariff, mlinzi wa kati, Vicent Andrew, viungo Muzamir Yassin, Shiza Kichuya, Mohamed Ibrahim na mshambulizi, Said Bahanunzi wote walikuwapo katika kikosi cha timu hiyo msimu uliopita lakini sasa hawapo katika timu hiyo.
Pointi 13 katika game 7 zimeifanya timu hiyo kupanda hadi katika nafasi ya tatu ya msimamo wa ligi-pointi nne nyuma ya vinara Simba SC.
Walipoteza mechi ya ufunguzi katika uwanja wao wa nyumbani, Manungu Complex kisha wakalazimishwa sare ya kufungana 1-1 na Mbao FC katika uwanja huo lakini mambo yameanza kwenda vizuri.
Goli pekee la kiungo mshambulizi, Haroun Chanongo vs African Lyon mwishoni mwa wiki iliyopita limekuwa goli la 8 kufungwa na kikosi cha Mayanga ambaye aliisaidia Tanzania Prisons kumaliza katika nafasi ya nne msimu uliopita huku wakicheza game 15 pasipo kupoteza katika uwanja wao wa nyumbani, Sokoine, Mbeya.
Wachezaji wengi wa Prisons walivutiwa na mbinu za Mayanga huku pia wakimsifia mkufunzi huyo wa zamani wa Kagera Sugar FC kwa kuwajenga kisaikolojia.
Mayanga amekuwa akiwasisitiza wachezaji wake mara kwa mara kwamba wanaweza kuifunga timu yoyote kama watakuwa tayari kwa maana mpira wao na timu nyingine hautofautiani. Chini ya kocha huyu naamini Mtibwa watajaribu kushinda ubingwa wa VPL na FA Cup msimu huu.
Akiwa tayari ameangusha pointi nne katika uwanja wa Manungu Complex na huku wakipoteza game moja ugenini vs Simba, Mayanga anapaswa kuimarisha zaidi mbinu zake za kujilinda ili wasiendelee kuruhusu magoli mara kwa mara.
Kuruhusu magoli 6 katika michezo 7 huku magoli matatu wakiruhusu katika uwanja wao wa nyu mbani ni tatizo lakini mkufunzi huyo naamini anaweza kurekebisha hali hiyo kabla ya kuwavaa JKT Ruvu ya Pwani pale Mlandizi wikendi hii.
Kushinda game nne, kupoteza mbili na kupata sare katika game moja ni mwanzo mzuri kwa timu iliyowapoteza wachezaji 6 hadi 7 wa kikosi cha kwanza kwa mara moja.
Nahodha msaidizi, Salim Mbonde, Ally Shomary, Ibrahim Jeba, na baadhi ya wachezaji wazoefu kama Vicent Barnabas na nahodha wa timu hiyo, Shaaban Nditti wanaweza kushirikiana na wachezaji vijana na wale wapya Kasian Mponela kumaliza tabia ya kumaliza ligi vibaya.
Mzunguko wa pili umekuwa ukiwasumbua sana Mtibwa katika miaka ya karibuni na jambo hilo limekuwa likiwanyima nafasi ya kutwaa ubingwa licha ya kufanya vyema mwanzoni na kutoa ushindani mkubwa.
Katika makocha wazawa, siku zote nimekuwa shabiki wa Mayanga-mshindi wa Tusker Cup 2008 akiwa na kikosi cha ‘Wakata Miwa hao wa Turiani.’
Mayanga atairudisha Mtibwa katika njia ya ushindani wa kweli na watajaribu kushinda mataji msimu huu. Mayanga anaweza kumaliza ‘kiu ya ubingwa’ Mtibwa Sugar lakini haitakuwa rahisi

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...