Friday, March 18, 2016

Ommy Dimpoz azungumzia urafiki wake na Diamond kwa sasa ulivyo.

katika mohojiano yake Dimpozi amesema haina haja ya kuficha ficha kuwa wapo karibu kwa sasa hayupo karibu nae lakini hana tatizo nae kwa maana hana ugomvi nae na wala hawakuwahi kugombana ila hali kama hiyo inatokea kwa mtu yoyote.

Huu  sio muda wa kuficha mambo wakati uhalisia unaonekana tulivyo sasa sio kama zamani sasa lakini hatuja gombana wala hatuna bifu mana kukuza mashabiki hawachelewi amesema Dimpozi

Alipo ulizwa kuhusu wanjera kuwa ndio chanzo cha ugomvi wao dimpozy amesema hapana haikuwa hiyo wala hakuna bifu ila hali ya kawaida kwa binadamu, na tukiona nana tun salimiana kama kawaida

kuhusu kuwa karibu na alikiba kwa sasa amesema huwa haegemei upande wowote kati ya wasanii hao maana unapo egemea upande mmoja ndipo watu wana kutukana na kuku elewa vibaya huwa hapendi kuegemea sehemu moja na kama bifu au chochote hiko chao yeye  anacho angalia utu na ubinadamu wala haingii katika bifu lao kama kweli lipo

Thursday, March 17, 2016

Wazee kulipwa pension zao kuanzia april Zanzibar

ZANZIBAR


Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuanzia mwezi April mwaka huu, itaanza kulipa pensheni kwa wazee wote wenye umri wa kuanzia miaka sabini ili kukabiliana na hali mbaya ya kiuchumi inayowakabili wazee waishio visiwani humsheinMpaka sasa jumla ya shilingi bilioni moja nukta tano zimetengwa kwa ajili ya malipo ya miezi mitatu ya pensheni hiyo kabla ya kuisha kwa mwaka huu wa fedha, kipindi ambapo Baraza la Wawakilishi litapitisha kiwango kipya cha pesa za pensheni kwa mwaka ujao wa fedha.

Mkuu wa Kitengo cha Hifadhi ya Jamii kutoka serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Bw. Salum Rashid Mohemmed, amesema hayo leo katika mkutano wa kitaifa ulioandaliwa na asasi ya HelpAge International tawi la Tanzania, kwa ajili ya kutathmini utekelezaji wa sheria za kimataifa na za kikanda, za usimamizi na ulinzi wa haki za wazee ambazo Tanzania kama nchi imeziridhia.

Kwa mujibu wa Bw. Mohammed, takribani wazee elfu ishirini watanufaikia na mpango huo ambapo kila mmoja atapatiwa kiasi cha shilingi elfu ishirini kila mwezi huku kiwango cha pensheni kikitarajiwa kupanda kulingana na hali ya uchumi itakavyokuwa.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Help Age Tanzania Bw. Smart Daniel, amesema kuna haja ya Tanzania Bara kuiga mpango huo wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kwani wazee nchini wanakabiliwa na hali mbaya ya kiuchumi huku sababu kuu ikiwa ni hatua ya serikali kutosaini sheria ya wazee takribani miaka kumi na tatu tangu bunge litunge na kuipitisha.

Akinukuu ripoti ya mwaka jana ya hali ya wazee duniani; Bw. Daniel amesema hali ya wazee nchini sio nzuri kwani katika ripoti hiyo, Tanzania imeshika nafasi ya tisini na moja kati ya nchi tisini na sita zilizofanyiwa utafiti.

Aidha, amesema licha ya wazee kukabiliwa na hali mbaya ya kiuchumi, wao ndio wamekuwa walezi wa kundi kubwa la wajukuu ambao wengi wao ni watoto yatima, sambamba na kuwa na jukumu la kuhudumia watoto na wajukuu wao walioathirika kwa ugonjwa hatari wa ukimwi.

JINI MAHABATI SEHEMU YA 1



Mavazi ya heshima yasiyokuwa na heshima aliyokuwa akipendelea kuvaa Razia maarufu kwa jina la Kisura yalitosha kabisa kumchanganya Tariq na kujikuta akimpenda ghafla binti huyo waliyekutana eneo la chuo kikuu cha Eckernford Tanga.Uzuri wa umbo la kibantu na wowoo au kijungu mchongoko alilojaliwa binti huyo vilimfanya mwanaume yeyote aliyekutana naye kupagawa na pengine kutaka hata kumsalimia.

Mpasuo wa mbele wa gauni refu alilovaa binti huyo ulimfanya Tariq ageuke mara baada ya kupishana na binti huyo kwenye barabara hiyo ya kuingia chuoni.

Mtikisiko mtikisiko wa makalio ya binti huyo mithili ya mawimbi ya bahari ya hindi yalizidi kumchnganya Tariq na kujikuta akiumia shingo kwa kumuangalia.Uvumilivu ukamshinda akajikuata anageuka na kuanza kurudi chuoni alipotokea ili mradi  apate hata nafasi ya kumsemesha binti huyo.

Macho ya Tariq yaliganda kwenye sehemu za nyuma za wowooo la binti huyo ambalo licha ya ukubwa na mirindimo ya pwani pia zilionesha michirizi chirizi ya nguo ya ndani.Tariq alilalamba lamba midomo yake kutokana na uchu mkubwa alioupata mara baada ya kugundua kuwa nguo ya ndani ya binti huyo ilikuwa ni ya pink tofauti na gauni la light blue alilokuwa amelivaa.

Tariq alizidi kumfuata mpaka binti huyo akaingia chuoni kabisa na alikuwa akielekea moja ya ofisi hapo chuoni. Tariq alijikuta akikooa kwa nguvu jambo lilomfanya binti huyo ageuke. “Jamani huko vizuri alichombeza Tariq huku akipiga hatua za haraka haraka ili aweze kuomba namba za simu.Akajikuta anatoa kalamu na karatasi kisha kuandika namba zake za simu na kumkabidhi binti huyo

Razia alitabasamu kisha akazichukua zile namba na kuingia ofisini. “Sijui ni msubiri au niondoke zangu” alijiuliza Tariq mara baada ya kutoa namba zake na kubaki hapo nje.”Any way kwa kuwa nimeshampa namba zangu wacha mimi niende zangu”alijijibu Tariq.

Razia aliingia ofisini kwa lengo la kukamilisha udaili wa kujiunga na chuo kikuu cha Enckernford Tanga kwa sababu alikuwa amechelewa na mda wa usahili ulikuwa umeisha.Alichelewa kutokana na mvutano na familia yake ambayo haukupenda binti huyo kusoma nje ya jiji la Dar es salaam na walikuwa wako tayari kutumia gharama yeyote kuhakikisha kuwa binti huyo anapangiwa vyuo vilivyopo Dar es salaaam...

Razia ni mtoto wa balozi mstaafu na mama yake anafanya kazi kama katibuu mkuu wa wizara moja hapa nchini.Razia ameishi kwenye mazingira mazuri sana na sasa anafuraha sana maana atapata uhuru wa kuishi maisha yake kuacha yale ya kubanwabanwa aliyokuwa akiishi tangia akiwiwa mdogo.

Razia au Kisura jina alilopewa akiwa sekondari alipenda sana kwenda kusoma mbali na Dar es Salaaam ili aweze kupata uhuru  wa kuishi maisha ayependayo tofauti na yale ya kubanwabanwa na wazazi wake.Hivyo hata katika uchaguzi wa vyuo alijaza vyuo vya nje ya Dar es salaam hivyo kupelekea kupangiwa Tanga jambo ambalo halikuwafurahisha wazazi wake.

Alipoingia tu ofisini harufu ya marashi ya kunukia ilimshitua  mwalimu aliyekuwa akihusika na kukamilisha usaili kwa wanafunzi waliochewa.Macho ya tamaa ya kiume yaliangukia kwenye matiti ya binti huyu ambayo yalikuwa ni makubwa na yameachiwa huku kukiwa na kitatoo kidogo cha makopa kwenye titi lakushoto.

 “Karibu alijikaza na kusema Mwalimu huyo mara baada ya kugundua kuwa binti aliyeingia ofisi alikuwa na urembo uliopitiliza”.  “Asante alijibu Razia kwa sauti iliyojaa mbwembwe na kila ishara ya ushawishi kuwa yeye ni mrembo. Ule mpasuo wa gauni alilovaa binti huyu vilimfanya mwalimu huyo aendelee kumshangaa na kumezea mate kama simba aliyeona swala.

Basi Razia alieleza shida yake  na kutokana na muonekano wake alisikilizwa na kusaidiwa akakamilisha mchakato huo,akaaga na kuondoka  na wakati anapiga hatua kuondoka yule mwalimu alimwita na kumwambia mbona hujaandika namba yako ya simu? Razia akamuangalia kwa madaha kisha akatabasamu na kumwambia mbona sijaona sehemu ya kuandika namba”? “Ok hii form yako itakuwa imekosewa” alijiuma uma mwamlimu huyo.

“Kwa hiyo nifanyaje aliuliza Razia kwa kujiamini? “Andika namba yako kwa juu alijibu mwalimu.
****ITAENDELEA***

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...