Friday, September 15, 2017

Kuwa tajiri kwa mtaji wa laki tatu tu. Sehemu ya kwanza

 LEO TUANGALIE MCHANGANUO WA TSHS 300,000/= (LAKI TATU) KWA KUANZISHA MRADI WA UFUGAJI KUKU WA KIENYEJI.
Hapa tuta hitaji kuku 11 tu wakubwa wanao taga yani majike 10 na Jogoo 1 tu. Kwa kutumia kuku hao 11 baada ya miezi mitatu unaweza ukawa na kuku mia Tatu 300 au na zaidi kama unataka.
Nunua kuku wako katika chanzo cha kuaminika kuepuka magonjwa usinunue kuku sehemu za masokoni au kwenye mabanda ya njiani au kuku wanao safirishwa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine.
Unapo nunua kuku wakubwa kwanza unapo wafikisha wape chanjo ya mdondo (Newcastle vaccine) ili kuweka rekodi yako ya chanjo maana chanjo hii hurudiwa kila baada ya miezi 3. Ukumbuke tarehe uliyo wachanja na tarehe utakayo wachanja tena baadae.
Usinunue kuku kabla hujaandaa banda na Chakula.
Katika sh. 300000 toa sh.69500 ambayo utanunua Chakula cha kuku, kuku hawa hawana formula ya Chakula hivyo unaweza kununua material ukachanganya Chakula mwenyewe ampapo utaokoa pesa nyingi pia.
Mchanganuo Wa 69500 ni:- Pumba gunia 1. Shs.20000 gunia la pumba lina kilo 70.
Paraza kilo 25 = 700x25 =17500. Paraza ni mahindi yaliyo vunjwa vunjwa kwaajili ya Chakula cha kuku.
Mashudu ya alizeti kilo 15. 700x15=10500
layer's consetraite
Kilo 25 kifuko. = 21500.
Ukijumlisha utakuwa umepata kilo 135 kwa shs 69500. Ambapo kila kilo moja ya Chakula utakuwa umenunua kwa shiling 514.8.
Chakula hicho kichanganye kwa kutumia chepe kichanganye vizuri kichanganyike pumba lazima iwe kavu kabisa ikaushe usiwape kuku pumba mbichi.
Kumbuka kuku anayetaga anakula Gram 130 kwa siku
Hivyo kuku 10 watakula kilo 1.3 kwa siku ambayo ni gram 1300.
Hivyo tutaweza kuona Chakula chetu kitatupeleka zaidi ya siku 100 ya zaidi ya miezi mitatu.
TOA SHS 170000 AMBAYO UTANUNULIA KUKU.
Mchanganuo wake Kwa kila kuku mzuri ambaye ajazeeka anayetaga utampata kwa shilingi 15000 na Jogoo nzuri utampata kwa shilingi 20000.
Jogoo 1 = 20000
Majike 10 x15000= 150000 jumla 170000.
Itakuwa imebaki shs. 60500 -Hii pesa iliyobaki ni kwa ajili ya kununu material ya bei nafuu na kutengeneza banda la kuku 10 hadi 20. Kuku hawa hawaitaji banda Kubwa kwasababu hawashindi ndani wataingia ndani wakati Wa kulala jioni.

Inaendelea part 2


Thursday, September 14, 2017


Ladies BreakFast๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡



1. Kamwe usiishi na mwanaume ambaye hujaolewa naye, usiishi na 'boyfriend' wako kinyumba hata kama ni mchumba wako, utaonekana uko 'cheap' na ndoa unaweza ukaisikia kwenye bomba.
Labda kama mmeamua kuishi hivyo hivyo bila Ndoa halali inayotambulika serikalini au na dini zenu.
.
.
2. Usibebe mimba ya boyfriend wako. Siyo busara. Zuia kupata mimba kabla hajakuoa. Kumbuka kwamba kamwe huwezi kutumia ujauzito kama kigezo cha kumfanya akuoe. Wanaume wangapi wana watoto nje ya Ndoa?
.
.
3. Jitahidi kuzuia kutoa mimba, mmefanya, umepata mimba itunze kutoa mimba kunaweza kukakufanya uwe mgumba maisha.
.
.
4. Kamwe usiwatenge wazazi wako kwa sababu ya mwanaume, muda mwingine mapenzi hufanya watu waonekane wapumbavu. Usiruhusu mapenzi yatawale akili yako, penda kwa akili na sio kwa moyo.
.
.
5. Usifikirie kujiua kisa 'boyfriend' wako kakutosa, hana thamani hiyo, siyo mwanaume mzuri pekee katika dunia.
.
.
6. Usipoteze masomo yako kwa sababu mwanaume amekutaka umtembelee kwake. Hii itakufanya uonekane uko 'cheap' pia na kumbuka kesho yako ni muhimu kuliko huyo 'boyfriend' wako mlikokutana ukubwani.
.
.
7. Usimwombe mwanaume akuoe, hustahili kufanya hivyo na wewe una thamani yako, usijiweke kuwa wa rahisi kiasi hicho.
.
.
8. Hakuna kitu mwanaume hapendi kama majibizano, kubaki kimya ni adhabu kubwa sana kwa mwanaume mkorofi. Niamini mimi katika hili.
.
.
9. Katika ndoa Usimchunguze mwanaume kama unampenda na unajua huwezi kumuacha. Mwanaume siku zote huhitaji nafasi na uhuru, hapendi kuingiliwa katika mambo yake, mnaweza mkapinga ila huo ndio ukweli toka enzi na enzi. Kama una uwezo wa kuachana naye mchunguze tu bila wasiwasi wowote.
.
.
10. 'Wavulana' hutizama mwili wa mwanamke na kumhitaji kwa ajili ya kuburudisha maungo yao, ila 'wanaume' hutizama hulka na tabia za mwanamke katika malezi, uvumilivu, usaidizi, ushauri wa maendeleo na amani ya moyo (piece of mind).
____________________________________
KUMBUKA: Maneno yangu siyo sheria, ila nimeongelea kutokana na uzoefu na jinsi mambo yanavyoendelea katika ulimwengu wa sasa, unaweza ukaamua kuyafuata au ukayapotezea.  - #regrann

Sunday, August 6, 2017

SEX SLAVE. Sehemu ya.(1)

******
Jasho lilizidi kumtoka Mzee Alex Mwandambo!Hasira zilimpanda maradufu, mapigo yake ya moyo yalimwenda mbio,kifo cha kuteseka ndicho kitu alichokuwa anakifikiria kichwani mwake huku akiwa katika kasi ya ajabu akiendesha gari lake usiku wa saa saba kurejea nyumbani kwake,alishaelewa nini maana ya ugonjwa hatari wa virusi vya UKIMWI unavyotesa kabla ya kukutowesha duniani,aliona bora afe haraka kuliko kufa na kifo kibaya kama hicho,
alijilaumu sana kuisaliti ndoa yake,alimlaumu shetani siku zote.Watoto wake Jamal na Mackline aliwaonea huruma sababu bado walikuwa wadogo mno kukosa mapenzi ya baba yao.Alifika nyumbani kwake Afrikasana na kuweka gari getini kabla ya kuingiza gari ndani.Geti likafunguliwa na mlinzi.
“Noo! Hapana lazima nikumalize Hafuani,siwezi kukuacha uendelee kuishi duniani”
Hapo ndipo Mzee Alex Mwandambo alipogeuza shingo yake nyuma na kuanza kurudisha gari kinyume nyume na kulitoa kwa kasi kama mtu aliyechangayikiwa,alitetemeka kwa hasira,Msichana mdogo aliyemuambukiza ukimwi hakutaka kumuacha hai,alitaka kumuua,hiyo ndiyo aliamini kuwa ingekuwa adhabu ya binti huyo ambaye atakaye ukatisha uhai wake.
Kifupi Mzee Alex Mwandambo alikuwa mfu aliye hai na hivyo ndivyo alivyoamini tangu apewe majibu hayo wiki nne zilizopita.
Alivyofika Mwenge mataa alikunja kulia na kuchukua barabara inayokwenda Ubungo baada ya dakika kumi baadaye alifika maeneo ya chuo kikuu cha UDSM bado alikuwa katika mwendokasi uleule,alivyofika kituo cha polisi alikunja kona na mbele kidogo kulikua kuna msitu wenye giza na miti mingi,aliweka mguu kati na kupiga breki za ghafla na kufanya vumbi litokee na kuonekana japokuwa kulikuwa kuna giza totoro,kutokana na hasira  alizokuwa nazo alishuka garini bila ya kufunga mlango huku gari likiwa bado linawaka, linamulika! taa za mbele hazijazimwa.
“Wewe Malaya bado haujafa tu?”
Hilo ndilo swali la kwanza kulitupa kwa msichana aliyekuwa amefungwa kwenye mti na kamba za katani amezungushiwa mwilini.Licha ya kufungwa kwenye mti huo kwa siku mbili bila kupata matunzo lakini bado alikuwa mzuri,alikuwa mweupe wa kung’aa mwenye midomo milaini..
ITAENDELEA..  -

Saturday, March 18, 2017

Ratiba ya Robo Fainal Europer Legue Samatta Apelekwa Spain

  




Droo ya robo fainali imepangwa na kikosi cha KRC Genk anachokitumikia Mbwana Samatta kimepangwa kucheza na Celta Vigo ya Hispania.

Genk ambayo imewatoa Gent kutinga hatua hiyo, itaanzia ugenini dhidi ya Celta, moja ya timu matata za Hispania.

Kwa upande wa Man United, wao wataanzia ugenini nchini Ubelgiji dhidi ya vigogo wa nchi hiyo Anderletcht.


RATIBA ILIVYO: 
Anderletcht Vs Man United
Celta Vigo Vs Genk
Ajax Vs Schalke 04

Lyon Vs Besiktas 

Monday, January 9, 2017

JINSI MANAODHA WA TIMU ZA TAIFA WALIVYOPIGA KULA ZA MCHEZAJI BORA WA FIFA NA RONALDO KUIBUKA MSHINDI

: "Manahodha wa timu za Taifa walivyopigwa kura za mchezaji bora wa FIFA.
|
Lionel Messi (Argentina): 1. Suarez 2. Neymar 3. Iniesta.

Henrikh Mkhitaryan (Armenia): Ronaldo, Messi, Griezmann.

Dani Alves (Brazil): Messi, Neymar, Suarez.
Luka Modric (Croatia): Ronaldo, Messi, Neymar.

Wayne Rooney (England): Ronaldo, Suarez, Vardy.

Manuel Neue (Germanyr: Kroos, Ozil, Lewandowski.
Gianluigi Buffon (Italy): Messi, Bale, Ronaldo.

Arjen Robben (Netherlands): Ronaldo, Kroos, Lewandowski.

Steven Davis (Northern Ireland): Messi, Ronaldo, Griezmann.

Cristiano Ronaldo (Portugal): Bale, Modric, Ramos.

Seamus Coleman (Republic of Ireland): Ronaldo, Messi, Suarez.

Darren Fletcher (Scotland): Ronaldo, Suarez, Messi.
Branislav Ivanovic (Serbia): Ronaldo, Messi, Neymar.

Sergio Ramos (Spain): Ronaldo, Messi, Iniesta.

Billy Forbes (Turks and Caicos): Vardy, Ronaldo, Messi.

Ashley Williams (Wales): Bale, Messi, Lewandowski.  

Sunday, January 8, 2017

Gambia Army Chief Stands by Embattled President Jammeh

Gambia Army Chief Stands by Embattled President Jammeh

Gambia’s army chief reaffirmed his loyalty to embattled President Yahya Jammeh on Wednesday in the face of a possible regional military intervention to enforce the result of an election that dealt the longtime leader a surprise defeat.
Jammeh initially accepted his defeat in the Dec. 1 election but a week later reversed his position, vowing to hang onto power despite a wave of regional and international condemnation.
Gambia  Yahya Jammeh attends the plenary session of the Africa-South America Summit on Margarita Island,   file.  REUTERS/Carlos Garcia Rawlins/File Photo
                                          Gambia Yahya Jammeh
West African regional bloc ECOWAS has placed standby forces on alert in case Jammeh attempts to stay in power after his mandate ends on Jan. 19. Jammeh has called the bloc’s stance “a declaration of war”.
“May I please seize this opportunity to renew to your Excellency the assurance of the unflinching loyalty and support of the Gambia Armed Forces,” General Ousman Badjie wrote in a letter to Jammeh published in a pro-government newspaper.
Many Gambians, who have lived through 22 years of Jammeh’s increasingly authoritarian rule, were stunned when the elections commission declared opposition figure Adama Barrow the winner of last month’s election. Jammeh’s initial acceptance of the result sparked nationwide celebrations.
Badjie declared his allegiance to Barrow soon after the poll results were announced, according to a spokesman for the president-elect. However his position remained unclear following Jammeh’s dramatic about-face.
In an illustration of the growing pressure on Gambian officials as the Jan. 19 deadline looms, Alieu Momarr Njai, the head of the elections commission, fled Gambia on Friday due to fears for his security, family members said.
Last month Gambian security forces seized control of the commission’s headquarters, which holds the original poll records and told staff, including Njai, to leave.
Over the weekend Gambian security agents closed three private radio stations, making it harder for the incoming government to communicate with its supporters.
“It is a sign of weakness for any side of the political spectrum to resort to media closures rather than engagement to put one’s position across,” Barrow’s office said on Wednesday in a statement that also called for the release of detainees.
Leaders of ECOWAS member nations have dismissed Jammeh’s move to challenge his election defeat before Gambia’s Supreme Court on Jan. 10 and say they will attend Barrow’s swearing-in this month.
By Reuters

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...