Friday, February 25, 2022

JESHI LIPINDUE SERIKARI UKRAIN ASEMA PUTIN

 

Rais wa Russia, Vladimir Putin amelitaka jeshi la Ukraine kuondoa uongozi uliopo madarakani wa Rais Volodymyr Zelensky huku akiutuhumu kuwa wa kigaidi na genge la watumiaji wa dawa za kulevya

Putin amewashtumu raia wa Ukraine kwa kutuma vifaa vya kivita kwenye makazi ya watu na miji mikubwa ikiwamo Moscow hali inayotishia usalama na kuongeza hofu.

Tuhuma hizo huenda zikaleta hali ya hofu huku ikidaiwa kuwa Urusi inazitumia kama sababu ya kuua raia wa Ukraine.

Zaidi ya watu 100 wauawa Ukraine

Ukraine imesema kuwa zaidi ya watu 100 wameuawa hadi sasa katika uvamizi wa Russia, huku mapigano yakienea kote nchini na vikosi vya Russia vikisonga mbele kuelekea mji mkuu, Kyiv.

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...