Tuesday, October 30, 2012

Usafili wa Treni Jijin Daresalam

mtazamo wangu juu ya kuanzishwa kwa usafili wa treni jijin Daresalaam, ni moja ya hatua ya mafanikio na sherikari naipongeza kwa hili. lakin wasiwasi wangu ni palee tu watakapo ingia akina chukua chako mapema je treni hizi zitadum kwa mda gani? isije kuwa sawa na mradi wa UDA ulivyo yoyoma kama upepo na sasa ni story tu

1 comment:

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...