Monday, December 9, 2013

Jimy Habibu ni msaniii wa bongo movie aliyeibukia kwa Franko Wa Belinda, Check piza zake kwa kubofya hapa


msaniii chipukizi kutoka K-Sam film production akiwa katika pozi baada ya kazi ngumu ya kushoot film
maeneo ya kongowe kibahaa ambako ndiko makazi ya K-Sam Film Production

  
Jimmy Habibu 
 Msanii ambaye ni zao la Franko wa Bedlinda kutoka kundi la K-Sam film production akiwa katika pozii baada ya kumaliza kushoot film ya Regret (MAJUTO) ambayo inatarajiwa kuuingia mtaani hivi punde
hivyo wadau wa film mpokeeni kwa mikono miwili

No comments:

Post a Comment

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...