Wednesday, October 15, 2014
PLAY GIRL PART 2 STORY MAPENZI YENYEKUSISIMUA BOFYAA UPATE UHONDO
Ilipoishia...
...nikayashika maziwa yangu
vizuri mpaka yakapanda juu kama
yanataka kutoka.
Muda wote Nyemo alikuwa
kazubaa tu..
"..Nyemo endesha gari twende..
Endelea...
"..lakini si umeshajua tunaelekea wapi..?"
"...si unanipeleka alipo Jerry au..?"
"...mie Bro Jerry kaniambia nije nikuchukue kisha nikupeke mpaka kwake, hivyo akitoka huko Temeke atakukuta.."
"...ok, nimekuelewa Nyemo.."
Baada ya hapo Nyemo aliwasha gari na safari yakuelekea huko kwa Jerry ikaanza huku mie akili ikinibadilika nakujikuta nikimtamani Nyemo njia zote tulizopita.
"...Nyemo hizo ni nywele zako halisi.."
Nilikuwa mtu wa kumchokoza Nyemo njiani, kwani kiukweli nywele zake zilikuwa kama zimewekewa dawa na ukichanganya na weupe aliokuwa nao daah..
Ilituchukuwa kama nusu saa mpaka kufika maeneo ya Msasani ambapo alikuwa akiishi Jerry..
"..Nyemo nikuulize kitu..?"
"..uliza tu wala usihofu.."
"..embu niambie ukweli, Jerry kashaoa..?"
Nilimtega maksudi Nyemo kwa swali hilo baada ya kuona jumba aliokuwa akiishi Jerry.
Nyemo alisita, akawa kama hajiamini amini jinsi ya kunijibu hivyo akilini mwangu nikawa nimeshajua kuwa atakuwa keshaoa,
"..hata kama, mie namtaka mdogo wake tu atanitosha.."
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikimlegezea jicho la kimahaba Nyemo kisha akashuka kunifungulia mlango wa gari nakushuka kama vile mtoto wa mfalme au malkia..
Kulikuwa na geti ndani yake magari matatu. Masofa ya kisasa, meza za vioo na vistuli vya vioo ndivyo vilivyonichanganya kabisa, hakukuwa na mfanyakazi wa ndani yeyote, nikiwa bado nashangaa shangaa pale sebuleni ndipo macho yangu yakakutana moja kwa moja na fremu kubwa ukutani,
"..Nyemo..? Huyu si kaka yako Jerry akiwa na mkewe siku ya ndoa..?"
Nyemo hakuwa na chakunijibu zaidi yakubaki nakigugumizi huku akinitolea macho natabasamu kwa mbali,
"...Nyemo..? Embu nionyeshe chooni wapi nikajisaidie, nimebanwa na mkojo.."
Alinielekeza nikaingia japo lengo langu halikuwa kwenda kujisaidia, niliofika chooni tu,
"..Nyemooo..!! Nyemooo...!!"
Nilimwita Nyemo kwa makusudi ili aje chooni nilipo, alikuja akagonga mlango wa choo nilichokuwepo, niliufungua kiupande huku nikitokeza kichwa kidogo,
"..samahani kwa kukusumbua Nyemo.."
"..usihofu bila samahani.."
"..Kwenye mkoba wangu niliokuja nao kuna 'Pedi' naomba ukaniletee.."
Nyemo alionesha kusita kisha akaenda kuniletea, nilikuwa hata 'bleed' sijaanza ila ule ulikuwa ni mtego tu kwa Nyemo..
"..Chukua hizi hapa.."
Sikutaka kuzichukuwa kwa muda ule zaidi ya kumshika Nyemo tisheti yake nakumvuta mpaka akajikuta tupo naye chooni tena huku akihema juu juu,
"...Nyemo usiniogope pliiz.."
"...mh hapana, Tina chukuwa 'pedi' zako, niache niende.."
Muda wote Nyemo alikuwa akiangalia kwa pembeni huku akitaka kundoka..
"...Nyemo mie simtaki kaka yako kwanza anamke na kashaoa..."
"..Tina hapana, hapana haiwezekani uwe namimi.."
Nyemo alichoropoka na kunikiambia pale chooni..
"..hanijui kama naitwa Tina zoa zoa tena bila uoga.."
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikimfuata Nyemo mpaka sebuleni alipokuwa tena nikiwa uchi wa mnyama na mikononi nikizishikilia zile 'pedi'.. Nilipofika tu sebuleni nilimkuta Nyemo akiongea na simu, sikuingiwa hata na woga kwani akili yangu yote niliielekezea ni jinsi gani nitamkabili handsome boy Nyemo..
Nilikuwa kama mtu aliyepigwa na butwaa kwa kumshangaa Nyemo mpaka alipomaliza kuongea na simu..
"..Tina nilikuwa naongea na bro Jerry.."
"..enh anasemaje..?"
"..mie nilijua labda mnamahusiano yeyote..?"
"..si rafiki tu.."
"..kama ni rafiki basi kaa ukijua bro Jerry alikuwa Temeke kwa wakwe na siyo kwa shangazi, na alikwenda kusuluhishwa na mke wake.."
"..enh kwa hiyo..? Lakini mie nakutaka wewe Nyemo.."
"...embu vaa vinguo vyako na tena potea haraka kwani bro Jerry yupo njiani anakuja na mke wake wasije wakakukuta hapa..."
"...yaani kwa kifupi tu leo hapa Nyemo sitoki mpaka unipe ninachotaka.."
"..enh enh nini unachotaka kwangu we malaya..?"
"...hata unitukane vipi Nyemo mie nataka ni sex tu na wewe nitaridhika.."
Mwili wangu ulikuwa tayari wa moto huku nikijihisi kutokwa na maji maji sehemu zangu za s**i..
Nilimwangukia Nyemo mpaka miguuni mwake huku nikishikwa na kwikwi si yakiu ya maji wala ya kulia bali ilikuwa ni kwikwi ya hamu ya kufanya mapenzi kwani ninamuda mrefu sijafanya mapenzi na mwanaume na hii yote nikutokana nakubanwa pindi ninaporudi likizo nyumbani kwa wazazi wangu Mwanza..
"..Nyemo pliz uchukuwe mwili wangu.. pliiz nakuomba uniridhishe.."
Nilimbembeleza mpaka nikamshuhudia Nyemo naye akilegeza macho kisha akanibusu shavuni kupitia kitovuni mwangu, kisha akazilamba chuchu zangu nakunifanya nisisimke mwili wote.
Nyemo alikuwa mtundu haswa waj kumlegeza mwanamke kwani pamoja na u 'play gal' wangu nijikuta sina ujanja kwa Nyemo.
Akiwa ndio kwanza ananinyonya maeneo ya shingoni mwangu ambapo ni hatari sana kwangu kwani huwa najihisi nipo dunia nyingine kabisa, mara tukasikia mlio wa honi ya gari kwa nje, pale pale Nyemo akashtuka nakuvaa suruali na shati lake haraka haraka huku akiniongelesha..
"..Bro Jerry huyoo.. Atakuwa mwenyewe tu..! Tena anakuja na shemeji dah..!! Dah..!!"
"..sasa tutafanya...
Kabla sijamalizia kuongea nilishangaa Nyemo akinibeba mpaka uani yalipopaki magari yakwao kisha akafungua nyuma ya gari (boneti) kisha akanitupia mule ndani..
"..Nyemo na nguo zangu je..?"
Aliondoka haraka nakwenda kunichukulia kisha akazitupia naku 'lock' mule nyuma ndani ya gari(boneti),
"..nitakuja kukutoa baadaye.."
Aliongea Nyemo huku akiniacha nikipumua kwa shida...
Nikasikia kwa mbaali sauti ya kufunguliwa kwa geti kisha kilichofuata ni sauti ya Nyemo akiongea na mtu, lakini kwa halmashauri yangu ya kichwa niliweza kugundua itakuwa ni sauti ya kaka yake Nyemo.
Baada ya muda mfupi sikuisikia tena ile sauti. Niliweza kuivumilia ile hali ya hewa mule ndani japokuwa ilikuwa si nyingi sana. Haikuchukuwa muda nikahisi kama gari inaondoka nikiwa bado sijielewi elewi mara simu yangu ikaita kutoka kwenye nguo zangu ambazo nilikuwa sijazivaa.
Nikaanza zoezi la kuitafuta tena kwa kuufuata mlio wa simu, nikaipata,
"..hallow.."
"..yap, Tina? Nyemo hapa anaongea.. Nipo ndani ya gari hapa naendesha nataka nikurudishe chuo kwa hiyo anza kuvaa nguo zako huko huko.."
"..unasemaje Nyemoo..? Embu nitoe huku mwenzio kuna giza sana halafu napumua kwa shida sana.."
"..Huko sikutoi na nakurudisha chuoni kwenu, vaa nguo zako haraka haraka.."
"..kwa taarifa yako Nyemo hapa sivai chochote ni bora unipeleke kwako tu..."
"..nadhani we utakuwa namatatizo ya akili, mie naishi na wazazi wangu.. sasa kama unajifanya mbishi ngoja nikuoneshe.."
Hapo hapo Nyemo akanikatia simu..
Niliendelea kuzubaa ndani ya gari huku nikiwa mbishi wakuvaa nguo zangu na nikiamini kwa asilimia zote Nyemo atanipeleka tu hata kama ni ghetto ili mradi animalizie hii hamu niliyonayo kwa muda mrefu sana.
Mara nikahisi gari imesimama, sijakaa sawa Nyemo akanifungulia mule nyuma ya gari 'boneti'
"...haya nimekwambia vaa nguo zako utoke fasta mpumbavu mkubwa wee.."
"..sitoki.."
"..unasemaje we malaya..?"
"..sitoki mpaka unihakikishie kuwa unanipeleka kwako.."
Nilipotoa tu kauli hiyo Nyemo alioneshwa kuchukizwa nami, aliubamiza ule mlango nilioakuwamo kisha nikashangaa gari kutoka kwa spidi kali.
Safari iliendelea, joto kali lililokuwa limeanza kuniandama nilijkuta napiga ngumi ule mlango kwa nguvu zote huku lengo langu kubwa likiwa nikumfanya Nyemo atelekeze kile nilichokuwa
Nakitaka.
***
Mwendo wa taratibu niliouanza kuusikia, nilihisi kama haitakuwa ni foleni basi itakuwa tunaingia huko anaponipeleka Nyemo.
Kelele za watu zilioichochea zaidi hisia zangu, mara gari ikasimama tena ule mlango wa nyuma niliokuwamo ukafunguliwa giza lilikvwa limeshaanza kuzama na sikuelewa kabisa eneo niliopo,
"...huyu hapa mtoeni, malaya mkubwa sana.."
"..niacheni, niachieeeni..."
Walikuwa ni vijana wa mtaani 'wahuni' ambapo Nyemo alikuwa amewatumia wanitoe mule ndani ya gari,
Walinivuta kwa nguvu zote mpaka wakafanikiwa kunitoa huku wakinitupia nguo zangu..
Watu walianza kujaa lile eneo lakini Tina mimi sikuwa hata na mshipa wa aibu nikazivaa nguo zangu kisha nikachukuwa kibegi changu,
"...Nyemo..? Nyemo
Mie ndio Tina, ahsante kwa kunidhalilisha.."
Nilimtamkia hayo maneno Nyemo, aliniangalia kisha akaingia ndani ya gari lake nakuondoka na
Wake vijana walionishusha kinguvu.. nikaondoka zangu nakufanya ule umati wa watu uliokuwa pale uendelee kunishangaa.
Njia nzima nilikuwa sijiamini amini kwa kitendo alichonifanyia Nyemo huku nikigeuka nyuma mara mbili mbili,
"..samahani kaka hapa ni wapi..?"
Ilinibidi niulize baada ya kunyosha njia kama nisiyoifahamu..
"..hapa ni mabibo Loyola, kwani we unaelekea waipi..?"
"..daladala za kuelekea posta zipo wapi..?"
"..nenda na hii njia moja kwa moja na ukifika mwisho mwa lile geti la shule ya Loyola, utazikuta daladala pale.."
Niliendelea na safari yangu mpaka nikazikuta daladala za kuelekea posta nikapanda.
Ndani ya dakika kama arobaini nilikuwa tayari nipo chuoni 'Cbe' nilijitahidi kuweka tabasamu ili kuaficha wenzangu lakini kabla sijaingia geti la 'cbe' simu yangu niliokuwa nimeweka kwenye
begi ikaingia meseji kwa haraka haraka nikaichukua
Nakuanza kuisoma..
'..NIPO NJIANI NAKUJA CHUONI KWENU KUKUCHUKUWA TWENDE KWANGU..."
Nikaangalia mara mbili mbili kujua imetokea wapi, nikaja kugundua kuwa jina limeandikwa Jerry
itaendeleAa.....
Tuesday, October 14, 2014
PLAY GIRL EPISOD 1 MBONGE LA STORY
"...Jamani mi sijui utaratibu wa
hapa., naomba mnirudishie tu
huo mkoba wangu.."
Nikiwa bado naendelea
kulalamika pale uwanja wa
ndege, mara akatokea mkaka
mmoja mweupe aliyevalia sare za
hawa wafanyakazi wa ndege..
"..embu niambie tatizo nini dada
mbona unalalamika.."
"..Leo ndio mara yangu ya
kwanza kupanda ndege na wakati
natoka Mwanza hawakunizuia
hivi, lakini nashangaa nimefika
hapa Dar eti wamezuia mkoba
wangu wanadai kuwa
hawaruhusu kusafiri na vipodozi
kwenye ndege.. Ni haki kweli
jamani..?"
"..dada unaitwa nani..?"
"..enh, Tina.., sio hapa tu
'Precision Air' hata mashirika
mengine ya ndege huwa
hawaruhusu.."
"..ok, lakini ndio nimeshafika Dar
sasa utanisaidiaje..?"
"..subiri kwanza hapo hapo
nakuja.."
Aliondoka akaingia kwenye ofisi
zao na baada ya muda akarudi..
"..Unaruhusiwa kwenda.."
"..oh thanks., na vitu vyangu..?"
"..we nenda navyo tu
nimeshaongea na mabosi.."
Nikachukuwa mikoba yangu
nakuondoka zangu ile natoka
hatua tatu tu, "..Tina.? Tina..?"
yule mkaka akaniita..
"..Nimesahau kitu.."
Moyo ukaniripuka tena huku
nikibaki sijielewi elewi..
"..umesahau kitu gani tena
kwangu..?"
Akaingiza mkono wake mfukoni
nakutoa kikaratasi kisha akanipa..
"..Business Card yangu hiyo..,
naitwa Jerry.."
Nilichukuwa nakuonesha
tabasamu huku 'dimpozi' zangu
nikizilazimisha,
"..Hanijui kama chuo wananiita
Tina zoa zoa enh"
Nilijisemea kimoyo moyo huku
nikijiondokea mpaka hostel zetu
za chuo pale 'chuo cha biashara'
CBE'..
****
Usiku wote sikulala kwa raha
kwani nilikuwa namfikiria Jerry tu
jinsi alivyonisaidia pale uwanja wa
ndege, nilijikuta hata asubuhi
ilipofika sikuingia darasani zaidi ya
kujilalia tu kitandani huku
nikichukuwa simu yangu
nakutuma meseji kwa Jerry..
'..morning Jerry..'
Haikuchukuwa muda akapiga
simu..
"..hallow.."
"..yap mambo Jerry..?"
"..pouwa, naongea na nani..?"
"..otea, sauti ya nani hii..?"
Nilimtega kwa makusudi ili nijue
kama ni kicheche..
"..mmhh.. Sijui bwana niambie
tu.."
"..aukey naitwa Tina.."
"..Tina.. Tina.. Tina yule wa jana
aliozuiliwa mkoba wa vipodozi..?"
"..Exactly..(sawa kabisa)"
"..Jerry..?"
Niliita kisha nikakaa kimya huku
nisijue ntamwanzaje kwani
kiukweli nilishamtamani toka jana
na nilazima aujue mwili wangu na
hivi handsome tena mweupe...
"..mmh ningependa kujua una.."
Kabla sijamalizia kumwambia
akaniwahi..
"..Tina..? Sorry kunakazi imetokea
hapa fasta nitakupigia baada ya
muda.."
Akakata simu..
"..hapa leo leo lazima kieleweke
na hivi toka nimetoka mwanza sija
sex na mwanaume..? Huu
mshawasha wote lazima aumalize
Jerry.."
Nilijisemea kimoyo moyo huku
nikiingia sehemu yakuandikia
meseji nakutaka kutuma meseji
lakini kabla sijatuma Jerry akawa
ananipigia..
"..tayari, haya ulikuwa
unasema..?"
"..Natafuta kazi, ninaweza kupata
hapo..?"
"..kazi.? Kazi gani unataka.."
"..i mean' nahitaji niwe
mfanyakazi wako wa ndani
'housegal' na chochote utakacho
nitatekeleza., au umeshaoa..?"
"..Tina.? Kumbe unavituko
hivyo..? Mi sijaoa.."
Nikajikaza nakumtamkia huku
mshipa wa aibu nikiuweka
pembeni Tina mie..
"...ok, nimekumis japo nikuone
ukitoka ofisini.. Kwani unaish
wapi..?"
Akanikatia simu..
"..shiit.., bado nitampata tu tena
leo leo lazima nimnyonye nanii
yake mpaka nichoke.. Na
ntakavyomkatikia hadi atajuta
mbona..."
Niliendelea kujipa moyo huku
nikiongea peke yangu nakuinuka
pale kitandani kisha nikabadili
nguo....
Nilijitesa vya kutosha lakini bado sikuridhika, nikampigia tena simu,
"..hallow..!"
"..yap Tina, nimebanwa tena hapa nashindwa hata kuongea huku nafanyakazi, lakini usihofu nitakupigia baada ya muda.."
"..hapana mie sitaki bwana, kwanza niambie tutaonana leo..?"
Nikaanza kumdekea kana kwamba ndo ameshakuwa mpenzi wangu..
"..Leo nitawahi kutoka ofisini hivyo ondoa wasiwasi kabisa lazima tutaona.."
"...ok, kazi njema basi.."
"..pouwa baadaye.."
Niliinuka nakuelekea bafuni kwenda kujisafisha vizuri na nilivyorudi nikawakuta wenzangu tayari wameshatoka madarasani na kwa muda huu walikuwa wakikishangaa kikadi nilichopewa na Jerry..
"..Tina we nomaa, naona mambo yako makubwa shosti.."
Ilikuwa ni sauti ya Aisha rafiki yangu wa karibu,
"..mh nawewe aisha kwa kuchunguza mambo..?"
"..kwahiyo toka umetoka huko Mwanza tumeanza kufichana siyo..?"
"...Kipi cha kukuficha jamani huyo ni rafi.."
Kabla sijamalizia kumwambia Aisha mara simu yangu ikaita, haraka haraka nikaangalia jina ni Jerry..
"..yap, niambie Jerry..."
"..mi ndio natoka ofisini nipo na gari tuonane wapi..?"
Nikakaa kimya kama dakika 1 kisha nikamjibu..
"...njoo hadi chuoni hapa Cbe ukifika maeneo ya hapa nipigie.."
Nilikuwa namuelekeza huku muda wote huo Aisha alikuwa akinishangaa,
"..Shosti naweza kwenda na mimi..?"
Aisha aliuliza nakunifanya nimuangalie kwa jicho la dharau, kisha nikampa dongo kama kawaida yetu yakutaniana..
"..nawewe..? Nawewe ukakatikie au ukanishikie nanii yake.."
Ndani ya dakika kama 40 tayari mlio wa simu yangu ulikuwa ukiita kuashiria kuwa Jerry keshafika maeneo ya chuo, nikaipokea ile simu...
"...hallow Jerry.."
"..sorry sana.."
"...Nimepigiwa simu,nahitajika kwa shangazi kunamatatizo yametokea.."
"..unasemaje..?"
"..wala usihofu hakijaharibika kitu, kwani suala la kuonana bado lipo pale pale.."
Niliona kama ananizingua, nikamkatia simu, hasira kali ilinishika huku nikiishiwa na pozi.
Nikarudi zangu mpaka rum kwangu nakuzivua zile nguo kisha nikajitupia kitandani,
"...siyo mbaya, anabahati..? Yani leo? Mbona angeisoma namba..?"
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikiangalia namba yake ya simu mara mbili mbili nakuifutilia kabisa..
Nilipomaliza kuifuta nikashangaa napigiwa simu na namba ngeni tena ya airtel, nikaipokea fasta..
"..bila shaka nazungumza na Tina.."
"..yap, ndio mie nani mwenzangu.."
"..mie ni mdogo wake na Jerry naitwa Nyemo, bro kanituma nije nikuchukuwe.."
"..kwani yeye yuko wapi na wewe uko wapi..?"
"..kaelekea kwa shangazi Temeke ila mie nipo hapa chuoni Cbe nje kabisa.."
Furaha ilinijia upya kabisa na sikutaka hata kupoteza muda, nikaichukua nguo yangu ile ile nakuivaa, nikachukuwa na mkoba wangu nikauwekea kanga na vipodozi nikatoka nakujifanya kama naenda darasani kujisomea kumbe naelekea nje kabisa, nilipotoka nikampigia simu huyo mdogo wake..
"..enhe, upo upande gani..?"
"..nipo upande wa huku karibu na chuo cha DIT nipo kwenye gari toyota Noah nyeusi namba T612 ATB.."
Kama nilivyoelekezwa wala sikukosea, ndani ya dakika chache nilikuwa nje ya hiyo gari ya Noah, alikuwa amekwishaniona hivyo akanifungulia mlango..
"..oh, Tina..?"
"..ndio mimi, mambo vipi..?"
Sikuamini kama Jerry atakuwa na mdogo wake mzuri namna hii, tena shombe shombe mweupee..
"...Huyo Jerry anajifanya mtu wa mambo mengi siyo..? Sasa namalizana na mdogo wake tena leo leo.."
Nilijisemea kimoyomoyo huku mawazo yakiwa yamebadilika, pale pale kabla hajaliwasha gari nikaanza kwa kumtega, nilipandisha kisketi changu mpaka nguo ya ndani ikaonekana, Nyemo akanitolea macho mapaja yangu, nikayashika maziwa yangu vizuri mpaka yakapanda juu kama yanataka kutoka.
Muda wote Nyemo alikuwa kazubaa tu..
"..Nyemo endesha gari twende
MAGAZETI YA LEO TAR-14-10-2014
magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Friday, September 5, 2014
Ajira mpya kutoka chuo cha mzumbe
Mzumbe univ. kuna vacant posts hizi. Tafadhali tuombeni na kuwajuulisha wengine. 1. Assoc. Prof.
2. Senior Lecturer (3 posts),
3. Lecturer (14 posts),
4. Ass. Lecturers (22 posts),
5. Ass. Librarian (2 post),
6. Tutorial Ass. (5 posts),
7. Librarian Trainee (2 posts)
8. Senior driver grade II (2 posts),
9. Senior Human resource officer (1 post),
10. Director of Planning (1 post),
11. Director of Human Resource and Administration (1 post),
12. Principal office ass. (1 post),
14. Record Mgmnt ass. (1 post),
15. Senior internal auditor II (3 posts), 16. Office mgmnt secretary (1 post),
17. Procurement officer (2 posts),
18. Accountant grade II (4 posts),
19. Ass. accountant II (6 posts),
20. Senior artisan (2 posts),
21. Pharmaceutical ass. (1 post),
22. Pharmaceutical technician (1 post), 23. Senior librarian ass. (4 posts),
24. Library ass. I (8 posts),
25. Library ass. II (4 posts),
26. Health attendant II (1post),
27. Driver grade I (1 post),
28. Office ass. I ( 2 posts). Tuma maombi yaka at: dvc-af@mzumbe.ac.tz. Tafadhali kwa maelezo zaidi tembelea tovuti ya mzumbe. Deadline ni kabla ya 19/09/14
2. Senior Lecturer (3 posts),
3. Lecturer (14 posts),
4. Ass. Lecturers (22 posts),
5. Ass. Librarian (2 post),
6. Tutorial Ass. (5 posts),
7. Librarian Trainee (2 posts)
8. Senior driver grade II (2 posts),
9. Senior Human resource officer (1 post),
10. Director of Planning (1 post),
11. Director of Human Resource and Administration (1 post),
12. Principal office ass. (1 post),
14. Record Mgmnt ass. (1 post),
15. Senior internal auditor II (3 posts), 16. Office mgmnt secretary (1 post),
17. Procurement officer (2 posts),
18. Accountant grade II (4 posts),
19. Ass. accountant II (6 posts),
20. Senior artisan (2 posts),
21. Pharmaceutical ass. (1 post),
22. Pharmaceutical technician (1 post), 23. Senior librarian ass. (4 posts),
24. Library ass. I (8 posts),
25. Library ass. II (4 posts),
26. Health attendant II (1post),
27. Driver grade I (1 post),
28. Office ass. I ( 2 posts). Tuma maombi yaka at: dvc-af@mzumbe.ac.tz. Tafadhali kwa maelezo zaidi tembelea tovuti ya mzumbe. Deadline ni kabla ya 19/09/14
Wednesday, June 25, 2014
YAANI USEMI WA CHOVYA CHOVYA HUMALIZA BUYU LA ASALI AMEUDHIHILISHA SUAREZ BAADA YA KUNOGEWA NA HUDUMA YA KUNG'ATA WACHEZAJI KILA AJISKIAPO SASA KUKUMBANA NA RUNGU LA FIFA
Mchezaji wa Uruguay Luis Suarez atakabiliwa na adhabu ya kufungiwa kwa muda mrefu kucheza mechi zikiwemo za Kombe la dunia ikiwa atakutwa na hatia ya kumng’ata mchezaji mwenzake wa Italia Giorgio Chiellini.
Shirikisho la soka duniani limeanzisha uchunguzi dhidi ya mchezaji huyo baada ya kuonekana akimng’ata mchezaji wa Italia, Giorgio Chiellini wakati wa mechi yao ya kombe la dunia.
Chiellini amedai Suarez amemng’ata katika bega lake la kushoto lakini Suarez amejitetea kuwa mchezaji huyo alijigonga kwake.
Refari wa mechi hiyo hakuchukua hatua yoyote dhidi ya Suarez.
Ikiwa atapatikana na hatia, Suarez huenda akazuiwa kucheza mechi 24 au kwa miaka miwili.
Suarez mwenyewe tayari amejitetea katika vyombo vya habari nchini Uruguay.
Suarez anasema Kuna mambo fulani ambayo hutokea uwanjani na hadhani ni vyema kuanza kuzua kashfa kutokana na mambo kama hayo.
Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi kwa kubonyeza
Wednesday, June 18, 2014
HII NDIYO RATIBA NZIMA YA LIGI KUU ENGLAND 2014/2015 WADAU MJIPANGE
RATIBA NZIMA YA LIGI KUU ENGLAND 2014/2015.
16 August 2014
Arsenal v Crystal Palace
Burnley v Chelsea
Leicester City v Everton
Liverpool v Southampton
Manchester United v Swansea City
Newcastle United v Manchester City
Queens Park Rangers v Hull City
Stoke City v Aston Villa
West Bromwich Albion v Sunderland
West Ham United v Tottenham Hotspur
23 August 2014
Aston Villa v Newcastle United
Chelsea v Leicester City
Crystal Palace v West Ham United
Everton v Arsenal
Hull City v Stoke City
Manchester City v Liverpool
Southampton v West Bromwich Albion
Sunderland v Manchester United
Swansea City v Burnley
Tottenham Hotspur v Queens Park Rangers
30 August 2014
Aston Villa v Hull City
Burnley v Manchester United
Everton v Chelsea
Leicester City v Arsenal
Manchester City v Stoke City
Newcastle United v Crystal Palace
Queens Park Rangers v Sunderland
Swansea City v West Bromwich Albion
Tottenham Hotspur v Liverpool
West Ham United v Southampton
13 September 2014
Arsenal v Manchester City
Chelsea v Swansea City
Crystal Palace v Burnley
Hull City v West Ham United
Liverpool v Aston Villa
Manchester United v Queens Park Rangers
Southampton v Newcastle United
Stoke City v Leicester City
Sunderland v Tottenham Hotspur
West Bromwich Albion v Everton
20 September 2014
Aston Villa v Arsenal
Burnley v Sunderland
Everton v Crystal Palace
Leicester City v Manchester United
Manchester City v Chelsea
Newcastle United v Hull City
Queens Park Rangers v Stoke City
Swansea City v Southampton
Tottenham Hotspur v West Bromwich Albion
West Ham United v Liverpool
27 September 2014
Arsenal v Tottenham Hotspur
Chelsea v Aston Villa
Crystal Palace v Leicester City
Hull City v Manchester City
Liverpool v Everton
Manchester United v West Ham United
Southampton v Queens Park Rangers
Stoke City v Newcastle United
Sunderland v Swansea City
West Bromwich Albion v Burnley
4 October 2014
Aston Villa v Manchester City
Chelsea v Arsenal
Hull City v Crystal Palace
Leicester City v Burnley
Liverpool v West Bromwich Albion
Manchester United v Everton
Sunderland v Stoke City
Swansea City v Newcastle United
Tottenham Hotspur v Southampton
West Ham United v Queens Park Rangers
18 October 2014
Arsenal v Hull City
Burnley v West Ham United
Crystal Palace v Chelsea
Everton v Aston Villa
Manchester City v Tottenham Hotspur
Newcastle United v Leicester City
Queens Park Rangers v Liverpool
Southampton v Sunderland
Stoke City v Swansea City
West Bromwich Albion v Manchester United
25 October 2014
Burnley v Everton
Liverpool v Hull City
Manchester United v Chelsea
Queens Park Rangers v Aston Villa
Southampton v Stoke City
Sunderland v Arsenal
Swansea City v Leicester City
Tottenham Hotspur v Newcastle United
West Bromwich Albion v Crystal Palace
West Ham United v Manchester City
1 November 2014
Arsenal v Burnley
Aston Villa v Tottenham Hotspur
Chelsea v Queens Park Rangers
Crystal Palace v Sunderland
Everton v Swansea City
Hull City v Southampton
Leicester City v West Bromwich Albion
Manchester City v Manchester United
Newcastle United v Liverpool
Stoke City v West Ham United
8 November 2014
Burnley v Hull City
Liverpool v Chelsea
Manchester United v Crystal Palace
Queens Park Rangers v Manchester City
Southampton v Leicester City
Sunderland v Everton
Swansea City v Arsenal
Tottenham Hotspur v Stoke City
West Bromwich Albion v Newcastle United
West Ham United v Aston Villa
22 November 2014
Arsenal v Manchester United
Aston Villa v Southampton
Chelsea v West Bromwich Albion
Crystal Palace v Liverpool
Everton v West Ham United
Hull City v Tottenham Hotspur
Leicester City v Sunderland
Manchester City v Swansea City
Newcastle United v Queens Park Rangers
Stoke City v Burnley
29 November 2014
Burnley v Aston Villa
Liverpool v Stoke City
Manchester United v Hull City
Queens Park Rangers v Leicester City
Southampton v Manchester City
Sunderland v Chelsea
Swansea City v Crystal Palace
Tottenham Hotspur v Everton
West Bromwich Albion v Arsenal
West Ham United v Newcastle United
2 December 2014
Arsenal v Southampton, 7.45pm
Burnley v Newcastle United, 7.45pm
Crystal Palace v Aston Villa, 8pm
Leicester City v Liverpool, 7.45pm
Manchester United v Stoke City, 7.45pm
Swansea City v Queens Park Rangers, 7.45pm
West Bromwich Albion v West Ham United, 8pm
3 December 2014
Chelsea v Tottenham Hotspur, 7.45pm
Everton v Hull City, 7.45pm
Sunderland v Manchester City, 7.45pm
6 December 2014
Aston Villa v Leicester City
Hull City v West Bromwich Albion
Liverpool v Sunderland
Manchester City v Everton
Newcastle United v Chelsea
Queens Park Rangers v Burnley
Southampton v Manchester United
Stoke City v Arsenal
Tottenham Hotspur v Crystal Palace
West Ham United v Swansea City
13 December 2014
Arsenal v Newcastle United
Burnley v Southampton
Chelsea v Hull City
Crystal Palace v Stoke City
Everton v Queens Park Rangers
Leicester City v Manchester City
Manchester United v Liverpool
Sunderland v West Ham United
Swansea City v Tottenham Hotspur
West Bromwich Albion v Aston Villa
20 December 2014
Aston Villa v Manchester United
Hull City v Swansea City
Liverpool v Arsenal
Manchester City v Crystal Palace
Newcastle United v Sunderland
Queens Park Rangers v West Bromwich Albion
Southampton v Everton
Stoke City v Chelsea
Tottenham Hotspur v Burnley
West Ham United v Leicester City
26 December 2014
Arsenal v Queens Park Rangers
Burnley v Liverpool
Chelsea v West Ham United
Crystal Palace v Southampton
Everton v Stoke City
Leicester City v Tottenham Hotspur
Manchester United v Newcastle United
Sunderland v Hull City
Swansea City v Aston Villa
West Bromwich Albion v Manchester City
28 December 2014
Aston Villa v Sunderland
Hull City v Leicester City
Liverpool v Swansea City
Manchester City v Burnley
Newcastle United v Everton
Queens Park Rangers v Crystal Palace
Southampton v Chelsea
Stoke City v West Bromwich Albion
Tottenham Hotspur v Manchester United
West Ham United v Arsenal
1 January 2015
Aston Villa v Crystal Palace
Hull City v Everton
Liverpool v Leicester City
Manchester City v Sunderland
Newcastle United v Burnley
Queens Park Rangers v Swansea City
Southampton v Arsenal
Stoke City v Manchester United
Tottenham Hotspur v Chelsea
West Ham United v West Bromwich Albion
10 January 2015
Arsenal v Stoke City
Burnley v Queens Park Rangers
Chelsea v Newcastle United
Crystal Palace v Tottenham Hotspur
Everton v Manchester City
Leicester City v Aston Villa
Manchester United v Southampton
Sunderland v Liverpool
Swansea City v West Ham United
West Bromwich Albion v Hull City
17 January 2015
Aston Villa v Liverpool
Burnley v Crystal Palace
Everton v West Bromwich Albion
Leicester City v Stoke City
Manchester City v Arsenal
Newcastle United v Southampton
Queens Park Rangers v Manchester United
Swansea City v Chelsea
Tottenham Hotspur v Sunderland
West Ham United v Hull City
31 January 2015
Arsenal v Aston Villa
Chelsea v Manchester City
Crystal Palace v Everton
Hull City v Newcastle United
Liverpool v West Ham United
Manchester United v Leicester City
Southampton v Swansea City
Stoke City v Queens Park Rangers
Sunderland v Burnley
West Bromwich Albion v Tottenham Hotspur
7 February 2015
Aston Villa v Chelsea
Burnley v West Bromwich Albion
Everton v Liverpool
Leicester City v Crystal Palace
Manchester City v Hull City
Newcastle United v Stoke City
Queens Park Rangers v Southampton
Swansea City v Sunderland
Tottenham Hotspur v Arsenal
West Ham United v Manchester United
10 February 2015
Arsenal v Leicester City, 7.45pm
Crystal Palace v Newcastle United, 8pm
Hull City v Aston Villa, 7.45pm
Liverpool v Tottenham Hotspur, 8pm
Manchester United v Burnley, 7.45pm
Southampton v West Ham United, 7.45pm
West Bromwich Albion v Swansea City, 8pm
11 February 2015
Chelsea v Everton, 7.45pm
Stoke City v Manchester City, 7.45pm
Sunderland v Queens Park Rangers, 7.45pm
21 February 2015
Aston Villa v Stoke City
Chelsea v Burnley
Crystal Palace v Arsenal
Everton v Leicester City
Hull City v Queens Park Rangers
Manchester City v Newcastle United
Southampton v Liverpool
Sunderland v West Bromwich Albion
Swansea City v Manchester United
Tottenham Hotspur v West Ham United
28 February 2015
Arsenal v Everton
Burnley v Swansea City
Leicester City v Chelsea
Liverpool v Manchester City
Manchester United v Sunderland
Newcastle United v Aston Villa
Queens Park Rangers v Tottenham Hotspur
Stoke City v Hull City
West Bromwich Albion v Southampton
West Ham United v Crystal Palace
3 March 2015
Aston Villa v West Bromwich Albion, 7.45pm
Hull City v Sunderland, 7.45pm
Liverpool v Burnley, 8pm
Queens Park Rangers v Arsenal, 7.45pm
Southampton v Crystal Palace, 7.45pm
West Ham United v Chelsea, 7.45pm
4 March 2015
Manchester City v Leicester City, 7.45pm
Newcastle United v Manchester United, 7.45pm
Stoke City v Everton, 7.45pm
Tottenham Hotspur v Swansea City, 7.45pm
14 March 2015
Arsenal v West Ham United
Burnley v Manchester City
Chelsea v Southampton
Crystal Palace v Queens Park Rangers
Everton v Newcastle United
Leicester City v Hull City
Manchester United v Tottenham Hotspur
Sunderland v Aston Villa
Swansea City v Liverpool
West Bromwich Albion v Stoke City
21 March 2015
Aston Villa v Swansea City
Hull City v Chelsea
Liverpool v Manchester United
Manchester City v West Bromwich Albion
Newcastle United v Arsenal
Queens Park Rangers v Everton
Southampton v Burnley
Stoke City v Crystal Palace
Tottenham Hotspur v Leicester City
West Ham United v Sunderland
4 April 2015
Arsenal v Liverpool
Burnley v Tottenham Hotspur
Chelsea v Stoke City
Crystal Palace v Manchester City
Everton v Southampton
Leicester City v West Ham United
Manchester United v Aston Villa
Sunderland v Newcastle United
Swansea City v Hull City
West Bromwich Albion v Queens Park Rangers
11 April 2015
Burnley v Arsenal
Liverpool v Newcastle United
Manchester United v Manchester City
Queens Park Rangers v Chelsea
Southampton v Hull City
Sunderland v Crystal Palace
Swansea City v Everton
Tottenham Hotspur v Aston Villa
West Bromwich Albion v Leicester City
West Ham United v Stoke City
18 April 2015
Arsenal v Sunderland
Aston Villa v Queens Park Rangers
Chelsea v Manchester United
Crystal Palace v West Bromwich Albion
Everton v Burnley
Hull City v Liverpool
Leicester City v Swansea City
Manchester City v West Ham United
Newcastle United v Tottenham Hotspur
Stoke City v Southampton
25 April 2015
Arsenal v Chelsea
Burnley v Leicester City
Crystal Palace v Hull City
Everton v Manchester United
Manchester City v Aston Villa
Newcastle United v Swansea City
Queens Park Rangers v West Ham United
Southampton v Tottenham Hotspur
Stoke City v Sunderland
West Bromwich Albion v Liverpool
2 May 2015
Aston Villa v Everton
Chelsea v Crystal Palace
Hull City v Arsenal
Leicester City v Newcastle United
Liverpool v Queens Park Rangers
Manchester United v West Bromwich Albion
Sunderland v Southampton
Swansea City v Stoke City
Tottenham Hotspur v Manchester City
West Ham United v Burnley
9 May 2015
Arsenal v Swansea City
Aston Villa v West Ham United
Chelsea v Liverpool
Crystal Palace v Manchester United
Everton v Sunderland
Hull City v Burnley
Leicester City v Southampton
Manchester City v Queens Park Rangers
Newcastle United v West Bromwich Albion
Stoke City v Tottenham Hotspur
16 May 2015
Burnley v Stoke City
Liverpool v Crystal Palace
Manchester United v Arsenal
Queens Park Rangers v Newcastle United
Southampton v Aston Villa
Sunderland v Leicester City
Swansea City v Manchester City
Tottenham Hotspur v Hull City
West Bromwich Albion v Chelsea
West Ham United v Everton
24 May 2015
Arsenal v West Bromwich Albion
Aston Villa v Burnley
Chelsea v Sunderland
Crystal Palace v Swansea City
Everton v Tottenham Hotspur
Hull City v Manchester United
Leicester City v Queens Park Rangers
Manchester City v Southampton
Newcastle United v West Ham United
Stoke City v Liverpool
BAADA KUSUBIRI KWA MUDA MREFU SANA, HAYA NDIYO MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2014-2015
KWA MAJINA YA WAVULANA KUANZIA HERUFI -A- MPAKA- L- BOFYA HAPA
http://www.pmoralg.go.tz/menu-data/adverts/form-five-selection-2014/WAVULANA-MAJINA-YA-SHULE-A-mpaka-L.pdf
WAVULANA HERUFI -M- MPAKA Z
http://www.pmoralg.go.tz/menu-data/adverts/form-five-selection-2014/WAVULANA-MAJINA-YA-SHULE-M-mpaka-Z.pdf
KUPATA MAJINA YA WASICHA BFYA LINK HII
www.pmoralg.go.tz/menu-data/adverts/form-five-selection-2014/WASICHANA-SHULE-ZOTE.pdf
http://www.pmoralg.go.tz/menu-data/adverts/form-five-selection-2014/WAVULANA-MAJINA-YA-SHULE-A-mpaka-L.pdf
WAVULANA HERUFI -M- MPAKA Z
http://www.pmoralg.go.tz/menu-data/adverts/form-five-selection-2014/WAVULANA-MAJINA-YA-SHULE-M-mpaka-Z.pdf
KUPATA MAJINA YA WASICHA BFYA LINK HII
www.pmoralg.go.tz/menu-data/adverts/form-five-selection-2014/WASICHANA-SHULE-ZOTE.pdf
Subscribe to:
Posts (Atom)