Sunday, June 30, 2013

VIEW AND GET MORE INFORMATION ABOUT FINAL BRAZIL 3-0 SPAIN: FANTASTIC FRED SEALS CONFEDERATIONS CUP


Brazil celebrating (Confederations Cup)
getty


The Selecao, fueled by a deafening atmosphere inside the Maracana, brought la Roja to their knees with an outstanding display to win the tournament for a fourth time

2′ Fre
44′ Neymar
 
47′ Fred
Two goals from Fred and a stunning Neymar finish saw Brazil claim their third straight Confederations Cup title in emphatic fashion, as they brushed Spain aside 3-0 in the final on Sunday.

The tournament hosts were in supreme form inside a raucous Maracana, ripping the reigning world and European champions to shreds to end their 29-match unbeaten run, and claim the trophy for the fourth time, alongside their triumphs of 2009, 2005 and 1997.

Fred needed only 90 seconds to open the scoring, before a thumping second from Neymar moments before the break rounded off an excellent first half for Brazil.

The onslaught continued two minutes after the restart when Fred put another past a shell-shocked Spain, who showed their ineptitude at both ends when Sergio Ramos lashed a penalty wide.

Gerard Pique's 68th minute red card ended any fleeting hopes of a comeback from la Roja, as Brazil's win sparked wild celebrations in the stands and saw Spain lose by three goals in a competitive game for the first time since 1985.
The fans had the Maracana rocking long before kick-off, and barely two minutes in, the home side nearly blew the roof off the famous stadium when they took the lead.
Oscar delivered a ball into the box which Fred, Iker Casillas, Alvaro Arbeloa and Pique all challenged. A goalmouth scramble ensued and, despite laying on the turf, the Fluminense man reacted quickest to poke home.
Fred very nearly set Oscar up for the second within minutes when he flicked across the box from Neymar’s cross, but Chelsea’s young playmaker drilled agonisingly wide.
Paulinho then made Casillas work hard to keep the deficit at one with a cheeky lob after robbing Andres Iniesta, with the Spain keeper backpedalling to get a hand to the attempt.
Vicente Del Bosque’s side were simply struggling to cope with the tenacity and energy in Brazil’s play, which was matched every step of the way by the fervour raining down from the stands.
And Arbeloa nearly committed a fatal mistake when he flattened Neymar on the halfway line, but with the fans baying for blood, only a yellow card was issued to the defender.
Spain finally showed signs of life when Iniesta’s rasping drive forced Julio Cesar to push around the post, but it was an aberration amid Brazil’s dominance, and Casillas had to stand tall again to stop Fred from point blank range.
However, it was then the hosts' turn to live on the edge when an outrageous goal-line clearance from David Luiz denied Pedro a sure-fire goal after Mata’s pass put him one-on-one with Cesar.
But with half-time approaching, Brazil would get their deserved second. Oscar drew the attention of the defence on the edge of the box and deftly slipped in Neymar, who unleashed an unstoppable shot into the back of the net.
And two minutes after the interval, the hosts struck again. Hulk’s fantastic diagonal ball was cleverly dummied by Neymar, leaving Fred to finish coolly into the bottom corner.
Spain were handed a glimmer of hope with a penalty after Marcelo clumsily challenged substitute Jesus Navas, but Ramos extinguished that optimism almost instantly with a wild spot-kick that flew wide.
And they were finished for good when Pique stuck out a leg in vain to bring down the onrushing Neymar, earning the Barcelona defender a straight red card as the last man.
It was party time inside the Maracana, with the irrepressible Neymar driving past defenders with ease, and substitute Jo coming close to a fourth with a powerful strike that was saved by Casillas.
Spain had a few chances to restore a little pride, but Pedro was denied excellently from close range by Cesar, who did equally well to push away a curling Villa effort with only minutes remaining.
But it just was not la Roja's night, with the final whistle signalling what had been an inevitability for some time as the Brazil celebrations kicked off in earnest.
The question now is whether the Selecao can ride this wave of momentum all the way onto the biggest stage of them all at World Cup 2014.

Saturday, June 29, 2013

VIDEO ZA MSHIRIKI WA TANZANIA AKIFANYA MAPENZI NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER


Mshiriki wa  kiume   wa  Tanzania, Nando  ametutia  aibu  baada  ya  uvumilivu  kumshinda  na  kuamua  kufanya  tendo la  ngono  hadharani  akiwa  katika  jumba  la  big  brother....

Kamera  za  BBA zinamuonesha  wazi  Nando  akikata  mauno  kwa  mwanadada  Selly wa  Ghana  mithili  ya  mtu  ambaye  hajawahi  fanya  tendo  hilo  kwa  miaka  200  iliyopit
 <<PART 1  IKO  HAPA>>>
   << PART 2  IKO  HAPA>>>

WANASAYANSI WAGUNDUA SIO HIARI YAO MWANAUME KULALA USINGIZI BAADA YA TENDO BALI NI KWASABABU ZIFUATAZO....

Jambo hili huwaacha wanawake wakiwa wamechanganyikiwa na kujiuliza maswali chungu mzima kama kuna mahali wamekosea au hawajawavutia wapenzi wao, pale wenzi wao wanapogeukia upande wa pili na kushikwa na usingizi punde tu baada ya kumaliza tendo la kujamiiana.

Lakini utafiti uliofanywa hivi na wanasayansi unawapa wanaume ahuweni katika kuepuka lawama hizo, kwamba, kumbe siyo hiyari yao, bali ni maumbile.

Wanasayansi hao wamebaini kwamba, kwa sababu za kimaumbile ubongo wa wanaume unawalazimisha kulala muda mfupi baada ya kushiriki tendo la kujamiiana. Katika utafiti wao wanasayansi hao walibaini kwamba, kwa jinsi ubongo wa mwanaume ulivyotengenezwa, pale wanapomaliza tendo la kujamiiana na kufika kileleni kuna eneo linalozimika na kuwafanya kupata usingizi.

Wakati hilo likitokea kwa wanawake hali ni tofauti, kwani wao hubaki wakikodolea macho dari wakiwa wamechanganyikiwa na kujiuliza maswali lukuki, wakijihisi kutowaridhisha wapenzi wao.

Utafiti huo ulifanyika kwa kuhusisha kipimo cha kumulika, maarufu kama scan, ambapo kilitumika kuwamulika wanaume katika ubongo wao pale wanapofanya tendo la kujamiiana na baada ya kumaliza kujamiiana na kufika kileleni na kubaini kwamba, eneo linalojulikana kama cerebral cortex, eneo linalohusika na ‘fikra’ huzimika baada ya mwanaume kufika kileleni.

"Utafiti huu unatupa matokeo ya kile kinachotokea ndani ya ubongo pale mwanaume anapofika kileleni.” Gazeti la Mirror lilimnukuu mwanasayansi mmoja wa serikali ya Ufaransa aitwae Serge Stoleru.

“Lakini kwa wanawake inaonekana ni tofauti kabisa……” Aliongeza kusema mwanasayansi huyo.

Mwanasayansi huyo aliendelea kusema kwamba, wanawake hushangazwa sana na jambo hilo na ndio sababu hubaki wakiwashangaa wapenzi wao wanapolala baada ya kumaliza tendo il hali wao wakitaka zaidi….

Kwa hiyo hakuna sababu ya wanawake kuwalaumu tena wanaume baada ya kumaliza tendo na kulala kwa sababu hivi sasa wameshajua sababu, watuwache tupumuwe……


Source: Jamii Forums

Friday, June 28, 2013

KAMA HUKUWAHI FIKIRIA KULA TUNDA LA TANGO BASII YAJUE MAAJABU KUMI YA TUNDA HILO, BOFYA HAPA NA USOME



Hawakukosea wale waliosema  kuwa mboga za majani na matunda ni kinga kwa afya yako.  Matunda mengi yana manufaa lakini tango tunasema limetia fora.
 Kwanza linasifika kwa kuwa na vitamin zote unazohitaji kwa siku. Tango moja lina vitamin B1, B2, B3, B4 na B6, madini ya chuma, potasium na zinc.
Pili, unapojisikia kuchoka mchana, kula tango moja ambalo linaweza kukupa nguvu kwa saa kadhaa.
 Tatu, ngozi yako inahitaji tango kutoa seli zilizokufa na makunyanzi. Weka au sugulia vipande vya tango usoni au sehemu iliyoathirika na utaona maajabu baada ya siku chache.
Nne, unataka kuondoa ‘hangover’ au maumivu makali ya kichwa, kula tango ambalo lina sukari ya kutosha na vitamin zitakazoweka mambo sawa mwilini.
 Tano, umechelewa kwenda kwenye usaili, viatu ni vichafu, chukua vipande vya tango na sugulia katika viatu. Vitang’aa.
Sita, umemaliza kula, unahisi una harufu mbaya mdomoni nyakati za mchana. Tafuna vipande vya tango na utapata harufu nzuri ya  mdomo.
Saba, midomo imekauka na inauma? Chukua kipande cha tango na sugulia mdomoni,  utaona mabadiliko katika midomo.
 Nane, umekosa muda wa kula mchana, kula tango moja bila kumenya maganda na litaweza kukaa tumboni kwa saa zaidi ya nane.
 Tisa, umekosea kuandika katika ubao au ukuta, chukua maganda ya tango na usugulie taratibu, wino au rangi hiyo itafutika kabisa.
 Kumi, pia, tango lina uwezo mzuri wa kusafisha vioo ambavyo vimefubaa kwa uchafu au maji ya chumvi.
 Imeandaliwa na Florence Majani

UTAFITI UMEONESHA UMBEA UNAFAIDA KIAFYA, JE FAIDA HIZO NI ZIPI? BOFYA HAPA NA UPATE UNDANI WAKE


Kama hujui, wanaume ni wambea zaidi ya wanawake, tofauti ni kwamba wao hawasutani hadharani!
Katika jamii yoyote mtu mwenye tabia ya umbea huchukiwa, hutengwa na hata wakati mwingine hupigwa kwa kuonekana kuwa ni chanzo cha migogoro na huku viongozi wa dini wakimwona mtu wa aina hiyo kuwa ni mtenda dhambi.
Watu wanaopenda tabia ya umbea huenda wakawa wamepata mtetezi. Ripoti iliyotolewa hivi karibuni kuhusu tabia ya watu kupenda kutumia muda mwingi kusema mambo ya watu wengine, inasema tabia ya umbea ina manufaa kiafya.
Ripoti hiyo iliyotolewa na watafiti kutoka chuo kikuu cha Rhode Island cha Marekani, inasema kuwa watu wanaonufaika zaidi za tabia hiyo ni wale wanaopenda kuongea mambo mabaya wa watu wengine kuliko wenzao wanaopenda kuzungumza kuhusu mambo mazuri.
Wataalamu hao wamebaini kuwa iwapo mtu atatumia dakika 20 kuzungumzia mambo mabaya ya watu wengine, anaweza kuimarisha afya yake kwa kupunguza msongo wa mawazo, woga na mashaka kwa asilimia 96 kwa muda wa masaa manne mfululizo.
Hata hivyo, wamebainisha kuwa mtu akitumia muda huo huo kuzungumza mambo mazuri ya watu wengine, atapunguza msongo wa mawazo kwa asilimia 72 ikimaanisha kuwa watu wenye kuzungumza mambo mabaya ndio wenye kunufaika zaidi.
Watafiti hao, wakifafanua hali hiyo wameelezwa kuwa mtu anapoongea habari nzuri zinazowahusu watu wengine huuchochea ubongo kutaka kujiunganisha na mtu anayezungumzwa, wakati yule anayezungumza habari mbaya huwa kinyume chake.
Mtu anayezungumza habari mbaya anatabia ya kutokuhifadhi alichokisema, bali huendelea na mambo yake kama kawaida, wakati anayezungumza habari nzuri hukaa nazo moyoni kwa kipindi cha muda fulani.
Mtaalamu wa Saikolojia kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Lusajo Kajula anasema binadamu wote huongea kuhusu watu wengine, lakini umbea ni zaidi ya maongezi.
Lusajo anasema asili ya mwanadamu ni kuzungumza japokuwa wakati mwingine hujikuta akiishia kutoa mifano halisi ya maisha ya watu wengine na hivyo kuingia katika mgogoro wakati mtu aliyesemwa anaposikia.
“Umbea ni kawaida na hauzuiliki, tatizo ni yaliyomo ndani ya umbea ambayo mara nyingi hutegemea na mawazo mtu aliyonayo. Kama ana mawazo hasi, ataongea mambo mabaya,” anasema Kajula.
Hata hivyo, Kajula anapingana na dhana iliyopo miongoni mwa watu kuwa mwanamke ndiyo anayependa zaidi tabia ya kuzungumza mambo ya watu wengine kuliko mwanaume.
“Kuna tafiti nyingi zinazoonyesha kuwa wanaume ni wambea zaidi kuliko wanawake, ila wao hawasutani na pia hawawezi kujieleza vizuri kama wanawake,” anasema Kajula na kuongeza kuwa kwa kawaida tabia ya kuongea mambo mazuri yanayowahusu watu wengine hukusudia kukuza heshima ya mtu anaezungumziwa.
Mwanasaikolojia na mwandishi wa kitabu kiitwacho ‘Nguvu ya Umbea’, Maria Konnikova anasema hakuna mtu anaeweza kuukwepa umbea na kushauri kuwa mtu asihangaike kutaka kuwazuia wambea kusema wayatakayo.
Anasema wataalamu mbalimbali wa masuala ya saikolojia wamebaini kuwa umbea ni njia muhimu katika kuleta umoja na mshikamano katika jamii kwani kwa kufanya hivyo husaidia kueneza taarifa ambazo wanajamii wasingeweza kuzifahamu. “Pia imebainika kuwa umbea ni zana nzuri ya kuifundisha jamii mtu gani anafaa kuwa rafiki na yupi anastahili kuepukwa,” anasema Konnikova.
Mwanasaikolojia Homer Simpson wakati fulani aliwahi kusema: “Kama hatutakiwi kula nyama kwanini wanyama waliumbwa kwa nyama? Kama kila mtu anafahamu kuwa umbea ni mbaya kwa nini anasema? Jibu ni rahisi; katika ubongo wetu kuna sehemu inayopenda umbea.”
Anasema kila mtu ananufaika na mambo mazuri yanayosemwa juu yake anapoyasikia. “Wapi ungependa kufanya kazi, sehemu ambayo watu wanakusema vibaya au vizuri?”anahoji Simpson.
Mchungaji wa Kanisa la Free Pentekosti Tanzania (FPCT) Njia Panda ya Himo, Kilimanjaro, Elisante Ngailo, akizungumzia utafiti huo anasema watu wanaotumia muda mwingi kuzungumza mambo mabaya yanayowahusu watu wengine husema tu bila kufiria.
“Watu wa aina hii hawaumizi kichwa kufiri sana, wao husema mambo walioyasikia au kuyaona, kisha kuendelea na maisha yao,” anasema Ngailo.
Anaongeza: “Lakini hawa watafiti wanataka kutuambia kwamba sasa tuwaseme sana watu kusudi tupunguze msongo wa mawazo? Hili haliwezekani” anasema Ngailo.
Kwa maoni yake si sahihi kwa watu kuwasema watu wengine vibaya na kwamba tafiti kama hizi hazijengi jamii kwa kuwa tabia ya umbea inapingwa na makundi mbalimbali ya watu.
Maoni ya watu mbalimbali
Roda Mgimwa mkazi wa Vingunguti anasema matokeo ya utafiti uliofanywa kuhusu tabia ya umbea anakubaliana nao kwasababu watu wa aina hiyo hawana hofu ya jambo wanalolizungumza.
“Wakati mwingine unaweza kumsikia mtu anasema umbea kuhusu mtu fulani ndani ya daladala bila kujua iwapo yule anayesemwa ana ndugu yake hapo au la. Kwa namna hii watu hawa hawawezi kusumbuliwa na msongo wa mawazo,” anasema Roda. Elia Mwamwaja mkazi wa Kongowe anasema matokeo ya utafiti huo yanaweza kuwapa nguvu wambea kuwasema vibaya watu wengi zaidi hasa kila wakati wanapohisi wanamsongo wa mawazo.
“Sasa kuna watu watatumia umbea kama dawa, wakihisi wanamsongo wa mawazo watakuwa wanaanza kusema mambo mabaya hata kama sio ya kweli,” anasema Mwamwaja.
Hata hivyo, Mwamwaja anatoa angalizo: “Kwa mtu ambaye hakuwa na tabia ya umbea hawezi kuianza tabia hiyo leo kwasababu tu amesikia wanaofanya hivyo wanaweza kupunguza msongo wa mawazo.”

BOFYA HII LINK NA UPATE KUJUA SABABU YA WANAWAKE KUKOSA HAMU YA KUJAMIIANA NA MWANAUME PIA


Ni nadra kwa watu kujitangaza kuhusu uwezo wao katika uhusiano, lakini hili ni tatizo
Matatizo ya kufanya mapenzi au kujamiiana kwa wanawake yanatambulika kama tatizo linalojirudia kwa muda mrefu ambapo huathiri mzunguko wa tendo la kujamiiana (kusisimka, kufikia kilele, kurudia) na hivyo kusababisha msongo wa mawazo au kuharibu uhusiano  wa wanandoa au wapenzi.
 Tatizo hili huathiri asilimia 43 ya wanawake wa rika zote duniani na huonekana zaidi kwa wanawake wenye umri kati ya 45-64.
Athari za mitandao ya kijamii;
Katika tafiti mpya iliyofanyika mwaka huu nchini Marekani, imeonyesha ya kwamba kati ya ndoa 6,000 zilizovunjika asilimia 57 zimesababishwa na mwenza mmoja au wote kupenda kutumia  mitandao kupita kiasi hivyo  kupoteza msisimko kati ya wenza wawili na hatimaye kupungua hamu ya kujamiiana.
 Nini husababisha hali hii?
Msongo wa mawazo – Asilimia kubwa ya tatizo hili  husababishwa na msongo wa mawazo  unaotokana na ugumu wa maisha (uchumi), matatizo katika uhusiano (ugomvi, kutoelewana, kutoaminiana au kukosa uaminifu katika uhusiano na magonjwa mbalimbali.
Kupungua au kukosekana upendo/mapenzi katika uhusiano au  ndoa
Kujifungua mtoto – Hii ni kutokana na homoni aina ya prolactin kuwa katika kiwango cha juu wakati mama ananyonyesha, homoni hii pia hufanya kazi ya kumfanya mtu kuridhika baada ya tendo la ndoa/kujamiana.  Mbali na kunyonyesha, homoni ya prolactin pia huongezeka wakati mtu amelala (usingizi mzito au REM sleep), wakati wa alfajiri, baada ya kufanya mazoezi, kula,baada ya tendo la kujamiana, baada ya upasuaji mdogo na hata baada ya kupata degedege.
Sababu nyingine ya kuongezeka kiwango cha kichocheo hiki cha prolactin ni kuwa na saratani katika ubongo. Dalili za saratani hii ni pamoja na kutonyonyesha vizuri kwa mama, kukosa hedhi, ugumba kwa wanawake na uhanithi kwa wanaume.
Kupungua mzunguko wa damu katika tupu ya mwanamke na hivyo kusababisha maumivu wakati wa kujamiana.
Hypothyroidism – Matatizo ya homoni ya tezi la koo, huonekana sana kwa wanawake kuliko wanaume.
Utumiaji wa vidonge vya kupanga uzazi au vya majira kwa muda mrefu
Unywaji pombe kupindukia – Kinyume na fikira potofu za watu wengi ambao huamini  kwamba unywaji pombe kali huongeza hamu ya kujamiiana au kupunguza uzito lakini ukweli ni kwamba pombe kali au kilevi cha aina yoyote hupunguza hamu ya kujamiiana na pombe huongeza uzito na kusababisha utapia mlo.

Ugonjwa wa kisukari
Uvutaji sigara
Ujauzito – Kutokana na mabadiliko katika mfumo wa homoni au vichocheo wakati wa ujauzito, na pia kutokana na mabadiliko ya maumbile ya wanawake wakati huu na hivyo kuchangia kutojiamini kwa mwanamke.
Uzito uliopitiliza Ugonjwa wa mifupa
Utumiaji dawa ya kulevya
Madhara katika neva inayohusika na kuongeza msisimko wakati wa kujamiiana na wakati wa upasuaji wa kuondoa mfuko wa uzazi kwa mwanamke mwenye matatizo ya uzazi au katika mfuko wa kizazi.
Madhara ya dawa – Kama dawa za kutibu shinikizo la damu na dawa za saratani.
Uchovu – Kuzidiwa kwa mwanamke na majukumu ya kulea mtoto/watoto, kazi na kumhudumia mume wake hivyo kusababisha uchovu.
Ugonjwa wa moyo na saratani ya aina yeyote ile, wasiwasi.
Baadhi ya watu  wenye historia ya kubaskwa ambao hawajapata matibabu ya kisaikolojia hukosa hamu ya kujamiiana pia. Au wale waliopata maumivu awali.  Baadhi ya wanawake wana tupu ndogo isiyo na ute hivyo husababisha maumivu makali wakati wa tendo.
Ni kundi gani la wanawake lililo katika hatari ya kukumbwa na tatizo hili?
Wanawake ambao wana historia ya kupungua hamu ya kujamiana
Wale ambao wamefanyiwa upasuaji wa kuondoa mayai yao ya uzazi kutokana na sababu mbalimbali
Wanawake ambao waliofika umri wa kuacha kupata hedhi (miaka 42-58)) na kupata dalili mbalimbali kama kutokwa na jasho usiku, kukosa usingizi mzuri na msongo wa mawazo.
Wanaume
Kwa wanaume, visababishi vya tatizo la kupungua hamu au uwezo wa kujamiana ni kama ifuatavyo;
Msongo wa mawazo kama nilivyoeleza hapo juu
Kupungua au kukosekana upendo/mapenzi katika uhusiano/ndoa
Unywaji pombe kupindukia kama nilivyoeleza awali
Utumiaji wa dawa za kulevya
Uvutaji sigara – Hupunguza kiwango na uzito wa shahawa kwa wanaume. Uzito wa shahawa hupungua kwa asilimia 22-57 kwa wale wanaovuta sigara.
Uwezo wa shahawa kuogelea kwenye mirija ya uzazi ya mwanamke pia nao hupungua kwa asilimia 20 kwa wale wanaovuta sigara ikilinganishwa na wale wanaume wasiovuta sigara.
Tafiti nyingine zimethibitisha kuwa wanaume wanaovuta sigara wana asilimia kubwa ya kutoa shahawa ambazo hazina maumbile mazuri au ya kawaida na hivyo kuongeza uwezekano wa mimba au  kuzaa mtoto mwenye maumbile ambayo sio ya kawaida.
Sababu nyingine ni:
Uzito uliopitiliza– Kutokana na kuongezeka kwa mafuta ambayo husababisha mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye moyo na uume kuwa mdogo na  kupungua uwezo wa kujamiana. Kupungua uwezo wa kujamiana au kufanya mapenzi kwa wanaume  ni ishara mojawapo ya  ugonjwa wa moyo na kiharusi.
Matatizo ya vichocheo katika tezi la koo au Hypothyroidism.
Kuwa na wasiwasi na msongo wa mawazo.
 Kupenda kutazama picha za ngono kupita kiasi  kwa kutumia mitandano ya kijamii kama ilivyo kwa wanawake.
Umri – Kuanzia miaka ya 40,kiwango cha  kichocheo aina ya prolactin huongezeka na kusababisha kuongezeka kwa kichocheo  kingine aina ya ‘dihydro-testerone’ ambacho husababisha tezi dume kuongezeka na hatimaye kupunguza uwezo wa kusisimika kwa mwanamume
Madhara katika neva inayohusika na kusimika kwa uume (pudendal nerve damage).
Kuendesha baiskeli  kwa muda mrefu (kwa kipindi kimoja) – Hii hugandamiza neva na mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye uume na kusababisha tatizo la kupungua kwa uwezo wa kusimika kwa mwanamume kwa muda tu.

Sunday, June 23, 2013

HII SASA NI HATARI NGONO KINYUME NA MAUMBILE ZAONGEZEKA TANZANIA ....ETI WENGI WAO WANAFANYA KUONDOA MIKOSI BOFYA UPATE UNDANI ZAIDI


Taasisi ya Kupambana na Ukimwi Nchini (Tacaids) imesema tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa vitendo vya ngono kinyume na maumbile vinazidi kuongezeka.

Hayo yalisemwa jana na Dk. William Kafura, katika mkutano wa sita wa Chama cha Wabunge cha Kupambana na Ukimwi (Tapac).

Alisema hiyo inatokana na imani za kishirikina kwamba wakifanya vitendo hivyo watapata bahati kwa kupandishwa vyeo.

“Lazima tukubali tatizo lipo na tulitafutie suluhisho, utafiti upo umefanywa na Muhimbili, umefanywa na chuo kikuu cha Dar es Salaam, umefanywa na Tasisi ya Utafiti ya Ifakara,”alisema.

Alisema pia wafanyabiashara wanaamini kwa kufanya vitendo hivyo watajirika wakati wanawake wanaamini kuwa watazidi kupendwa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa TACAIDS, Dk. Fatuma Mrisho, alisema utafiti uliofanyika nchini unabainisha kuwa wanawake hawana uelewa wa kutosha juu ya kujikinga na maambukizi ya ukimwi.

Akizungumzia suala la kujikinga na ugonjwa wa Ukimwi Dk. Mrisho alisema kuwa wanaume wana uelewa mkubwa zaidi kuhusu ugonjwa huo kuliko wanawake.Hata hivyo, alisema kwa sasa ipo kazi kubwa ya kutoa elimu kwa wananchi na hivyo kuwataka wabunge na viongozi mbalimbali kutoa elimu juu ya kujikinga na gonjwa hatari la ukimwi.

Aidha Mrisho alisema kuwa kwa sasa Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya Virusi vya ukimwi kwa asilimia 14.8 ambapo Unguja Kaskazini inamaambukizi madogo kwa asilimia 0.1.

Hata hivyo alisema kuwa kuna changamoto mbalimbali ambazo wanakumbana nazo ni pamoja na rasilimali za ukimwi kwa serikali, mashirika ya Dini na sekta binafsi kuwa pungufu kuliko mahitaji.

Alisema pamoja na kuwepo kwa changamoto lakini nia ni kufikia sifuri tatu ifikapo mwaka 2015 na hiyo hipo katika ulimwenguni, Afrika hapa hapa Tanzania.


 NIPASHE

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...