Saturday, December 28, 2013

MATCH PREVIEW NEWCASTLE VS ARSENAL

In-form Newcastle United host Arsenal on Sunday eyeing their first home Premier League win over Arsene Wenger's side since 2005.

Alan Pardew's men have won seven of their last nine Premier League fixtures, with their latest success a 5-1 hammering against Stoke City on Boxing Day.

That run - which includes victories over Chelsea, Tottenham and Manchester United - has seen Newcastle move to within three points of the Champions League places.



However, Arsenal are undefeated in their last six league trips to St James' Park, although the London club have triumphed in just two of those encounters.

Pardew is relishing the visit of Arsenal, though, and feels the clash will give him a better idea of the capabilities of his side.

"We've set ourselves up for what will be an intriguing encounter and we'll probably know a little bit more about this team after Arsenal," Pardew said.

"We've been on an incredible run really. I'm not sure if any team has beaten that run over the last nine or 10 games this season, not even Arsenal."

Midfielder Cheikh Tiote returns from suspension for Newcastle after missing the win over Stoke, leaving Pardew with almost a full squad to choose from.

Arsenal will be boosted by the return of Jack Wilshere following his two-game ban for making an offensive gesture towards Manchester City fans earlier this month, but Aaron Ramsey misses out after picking up a thigh injury in Thursday's 3-1 win over West Ham.

Laurent Koscielny is a doubt due to a knee problem, while Alex Oxlade-Chamberlain is also likely to be unavailable with a similar injury, although the winger is thought to be nearing his return.

The visitors' Boxing Day triumph against West Ham was their first in four league matches and moved them back to the summit of the division.

Wenger felt the victory at Upton Park underlined Arsenal's title credentials, but midfielder Tomas Rosicky is expecting another stern test of their character against Newcastle.

"Obviously it will be a tough game but Newcastle will always give you a good match," Rosicky told Arsenal's official website.

"It will be very interesting, I love these kind of games so I'm very much looking forward to playing them. I think it will be an exciting match."

Monday, December 9, 2013

Jimy Habibu ni msaniii wa bongo movie aliyeibukia kwa Franko Wa Belinda, Check piza zake kwa kubofya hapa


msaniii chipukizi kutoka K-Sam film production akiwa katika pozi baada ya kazi ngumu ya kushoot film
maeneo ya kongowe kibahaa ambako ndiko makazi ya K-Sam Film Production

  
Jimmy Habibu 
 Msanii ambaye ni zao la Franko wa Bedlinda kutoka kundi la K-Sam film production akiwa katika pozii baada ya kumaliza kushoot film ya Regret (MAJUTO) ambayo inatarajiwa kuuingia mtaani hivi punde
hivyo wadau wa film mpokeeni kwa mikono miwili

Thursday, November 28, 2013

MAN UNITED YAFANYA MAUAJI, YAWAPIGA WAJERUMANI 5-0 NYUMBANI KWAO



article-2514548-19AF0C4700000578-538_634x439_34593.jpg



wachezaji wa Manu wakishangilia moja ya magoli yao
article-2514548-19AF0EF300000578-546_634x448_a5791.jpg

Wyne Rooney na Giggs wakifurahia ushindiarticle-2514548-19AF0FC400000578-195_634x453_ac806.jpg
Kagawa akikata mbuga kuelekea kutafuta goli
MANCHESTER United imefanya mauaji makubwa ugenini, baada ya kuitandika Bayer Leverkursen mabao 5-0 nchini Ujerumani katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa ya Ulaya.
Mabao ya United usiku huu yamefungwa na Valencia dakika ya 22, Spahic aliyejifunga dakika ya 30, Evans dakika ya 65, Smalling dakika ya 77 na Nani dakika 88.
Wayne Rooney ndiye alikuwa nyota wa mchezo kutoka na kupika mabao manne katika ushindi huo ambao haukutarajiwa.
Kikosi cha Manchester United kilikuwa: De Gea, Smalling, Ferdinand, Evans, Evra/Buttner dk70, Jones, Giggs, Valencia/Young dk80, Kagawa, Nani na Rooney/Anderson dk80.
Bayer Leverkusen: Leno, Donati, Spahic, Omer Toprak, Can, Bender/Kohr dk81, Reinartz/Hegeler dk70, Rolfes, Castro, Son Heung-min/Derdiyok dk70 na Kiessling.

article-2514548-19AF0C4700000578-538_634x439_34593.jpg



wachezaji wa Manu wakishangilia moja ya magoli yao
article-2514548-19AF0EF300000578-546_634x448_a5791.jpg

Wyne Rooney na Giggs wakifurahia ushindiarticle-2514548-19AF0FC400000578-195_634x453_ac806.jpg
Kagawa akikata mbuga kuelekea kutafuta goli
MANCHESTER United imefanya mauaji makubwa ugenini, baada ya kuitandika Bayer Leverkursen mabao 5-0 nchini Ujerumani katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa ya Ulaya.
Mabao ya United usiku huu yamefungwa na Valencia dakika ya 22, Spahic aliyejifunga dakika ya 30, Evans dakika ya 65, Smalling dakika ya 77 na Nani dakika 88.
Wayne Rooney ndiye alikuwa nyota wa mchezo kutoka na kupika mabao manne katika ushindi huo ambao haukutarajiwa.
Kikosi cha Manchester United kilikuwa: De Gea, Smalling, Ferdinand, Evans, Evra/Buttner dk70, Jones, Giggs, Valencia/Young dk80, Kagawa, Nani na Rooney/Anderson dk80.
Bayer Leverkusen: Leno, Donati, Spahic, Omer Toprak, Can, Bender/Kohr dk81, Reinartz/Hegeler dk70, Rolfes, Castro, Son Heung-min/Derdiyok dk70 na Kiessling.

PITIA SURA ZA MBELE NA KURASA ZA NYUMA ZA MAGAZETI YA LEO NOVEMBER 28- 2013





DSC 0002 cd0ea

DSC 0003 96fdd
DSC 0004 d1c3e
DSC 0005 ad787
DSC 0006 f81e0
DSC 0007 3ad8bDSC 0008 c7968DSC 0009 2d49dDSC 0010 e9c8aDSC 0011 6628c

DSC 0012 c8074

DSC 0013 12efb


DSC 0014 4bcae

SASA WEKINDU WA MSIMBAZI WACHUKUA BEKO WA YANGA NA ATAKUJA IJUMAA HII



NewDocument_951f5.jpg
SIMBA imemtumia tiketi ya ndege kipa wa zamani wa Yanga, Yaw Berko na atatua jijini Dar es Salaam kesho Ijumaa kufanya mazungumzo ya mwisho na klabu hiyo ya Msimbazi.
Mwanaspoti linaweza kuthibitisha pasipo shaka kuwa Berko atatua kwa usafiri wa Shirika la Ndege la Kenya kwa ajili ya kufanya makubaliano ya kuidakia Simba kuanzia mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara unaoanza Januari 25 mwakani.
Simba imepanga kumpa mkataba wa miezi sita Berko ambao utakwisha Juni mwakani na kuwepo kwake kutategemeana na kanuni mpya za Ligi Kuu Bara kwani huenda kusiwe na makipa wa kigeni kuanzia msimu ujao kama kanuni mpya zitaanza kutumika.
Tayari uongozi wa Simba umempa maagizo kipa wao wa sasa raia wa Uganda, Abel Dhaira kumtaka atafute timu nyingine kutokana na kupungua kiwango pamoja na gharama kubwa.
Mmoja wa waandishi maarufu wa Ghana aliliambia Mwanaspoti jana Jumatano kuwa Berko amepokea tiketi hiyo na atatua katika ardhi ya Tanzania Ijumaa.
Berko alipopigiwa simu kuthibitisha habari hizo, kwanza aliguna, halafu akazungumza kwa Kiswahili; "Wewe nani? Baada ya mwandishi kujitambulisha na kumuuliza kuhusu suala la kujiunga Simba alicheka halafu akasema: ''Nipigie baadaye tuzungumze nipo mazoezini." Hata hivyo hakupatikana tena.
Viongozi wa Simba walionekana kushangazwa kila walipotafutwa kuthibitisha hilo, huku wengi wakisema hawana habari na hilo.
Hata hivyo, uchunguzi wa ndani wa Mwanaspoti unaonyesha kuwa Berko ameipokea tiketi ya ndege aliyotumiwa na Simba na atatua kesho Ijumaa kufanya mazungumzo na klabu hiyo ya Msimbazi.
Berko aliondoka Yanga mwaka huu baada ya klabu hiyo ya Jangwani kumpa dola 7,500 (Sh 12 milioni) alizokuwa anawadai kutokana na kuvunja mkataba.
Yanga ilimtoa Berko kwa mkopo kwenda FC Lipopo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ili wabadilishane na Mnyarwanda Kabange Twite, pacha wa kiraka wa klabu hiyo, Mbuyu Twite, lakini mpango huo ulishindikana msimu uliopita.
Baadaye kipa huyo bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa mwaka 2011/12 alibaki Jangwani lakini bila kucheza akawa mtu wa kujifungia chumbani muda wote makao makuu ya Yanga.
Berko, ambaye matarajio yake ya mbele ni kuwa mchungaji wa kanisa alipokuwa anawaaga mashabiki wa Yanga mapema mwaka huu, alisema anaondoka Jangwani, lakini kuna siku watamkumbuka.
"Nimefanya kazi vizuri na Yanga na sasa narudi nyumbani kufanya mambo mengine, nitawakumbuka sana, na Yanga najua watanikumbuka sana," alisema Berko alipokuwa anaondoka.
Akiwa Yanga, Berko anakumbukwa kuwa kipa imara klabuni hapo na akawa kipa bora wa ligi msimu wa 2010/2011, ingawa nyota yake ilififia alipokuwa na majeruhi ya bega yaliyokuwa yanamweka benchi mara kwa mara hali ambayo ilizua utata kuwa alikuwa anafanya makusudi.
Berko alijiunga na Yanga mwaka 2009, akitokea Liberty Proffessional ya kwao Ghana, timu ambayo ilimuibua pia Michael Essein na nyota wengine kibao wa Ghana. Aliletwa nchini na kocha wa zamani wa Yanga, Mserbia Kostadin Papic aliyewahi kufundisha katika klabu ya Hearts of Oak ya huko.
Berko anajivunia kuiwezesha timu kutwaa mataji ya ubingwa wa Bara msimu wa 2010/2011 na Kombe la Kagame mara mbili mfululizo; 2011 na 2012.
Mwaka 2011 alidaka mechi zote Kombe la Kagame, lakini 2012 alidaka hadi robo fainali alipoumia na kumuachia Ally Mustafa 'Barthez' aliyedaka hadi ubingwa.
Chanzo:Mwanasport mtandaoni

HAPPIEST MOMENT IN MA LIFE, SIKU AMBAYOOO KWA HESHIMAA NA TAADHIMA RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA TATU ALINIITUNUKU SHAHADA YA KWANZA YA SIASA NA UTAWALA( BACHELOR OF ART IN POLITICAL SCIENCE AND PUBLIC ADMINISTRATION)

Hans Mbedule Dimo Ndani ya vazi la hishimaaaaaaa

 Nipo na kijana mtanashati Mlekwa ukipendaa muite mtoto wa Wenger

Babyto Fetty alihusika vilivyo

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...