Saturday, December 28, 2013

MATCH PREVIEW NEWCASTLE VS ARSENAL

In-form Newcastle United host Arsenal on Sunday eyeing their first home Premier League win over Arsene Wenger's side since 2005.

Alan Pardew's men have won seven of their last nine Premier League fixtures, with their latest success a 5-1 hammering against Stoke City on Boxing Day.

That run - which includes victories over Chelsea, Tottenham and Manchester United - has seen Newcastle move to within three points of the Champions League places.



However, Arsenal are undefeated in their last six league trips to St James' Park, although the London club have triumphed in just two of those encounters.

Pardew is relishing the visit of Arsenal, though, and feels the clash will give him a better idea of the capabilities of his side.

"We've set ourselves up for what will be an intriguing encounter and we'll probably know a little bit more about this team after Arsenal," Pardew said.

"We've been on an incredible run really. I'm not sure if any team has beaten that run over the last nine or 10 games this season, not even Arsenal."

Midfielder Cheikh Tiote returns from suspension for Newcastle after missing the win over Stoke, leaving Pardew with almost a full squad to choose from.

Arsenal will be boosted by the return of Jack Wilshere following his two-game ban for making an offensive gesture towards Manchester City fans earlier this month, but Aaron Ramsey misses out after picking up a thigh injury in Thursday's 3-1 win over West Ham.

Laurent Koscielny is a doubt due to a knee problem, while Alex Oxlade-Chamberlain is also likely to be unavailable with a similar injury, although the winger is thought to be nearing his return.

The visitors' Boxing Day triumph against West Ham was their first in four league matches and moved them back to the summit of the division.

Wenger felt the victory at Upton Park underlined Arsenal's title credentials, but midfielder Tomas Rosicky is expecting another stern test of their character against Newcastle.

"Obviously it will be a tough game but Newcastle will always give you a good match," Rosicky told Arsenal's official website.

"It will be very interesting, I love these kind of games so I'm very much looking forward to playing them. I think it will be an exciting match."

Monday, December 9, 2013

Jimy Habibu ni msaniii wa bongo movie aliyeibukia kwa Franko Wa Belinda, Check piza zake kwa kubofya hapa


msaniii chipukizi kutoka K-Sam film production akiwa katika pozi baada ya kazi ngumu ya kushoot film
maeneo ya kongowe kibahaa ambako ndiko makazi ya K-Sam Film Production

  
Jimmy Habibu 
 Msanii ambaye ni zao la Franko wa Bedlinda kutoka kundi la K-Sam film production akiwa katika pozii baada ya kumaliza kushoot film ya Regret (MAJUTO) ambayo inatarajiwa kuuingia mtaani hivi punde
hivyo wadau wa film mpokeeni kwa mikono miwili

Thursday, November 28, 2013

MAN UNITED YAFANYA MAUAJI, YAWAPIGA WAJERUMANI 5-0 NYUMBANI KWAO



article-2514548-19AF0C4700000578-538_634x439_34593.jpg



wachezaji wa Manu wakishangilia moja ya magoli yao
article-2514548-19AF0EF300000578-546_634x448_a5791.jpg

Wyne Rooney na Giggs wakifurahia ushindiarticle-2514548-19AF0FC400000578-195_634x453_ac806.jpg
Kagawa akikata mbuga kuelekea kutafuta goli
MANCHESTER United imefanya mauaji makubwa ugenini, baada ya kuitandika Bayer Leverkursen mabao 5-0 nchini Ujerumani katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa ya Ulaya.
Mabao ya United usiku huu yamefungwa na Valencia dakika ya 22, Spahic aliyejifunga dakika ya 30, Evans dakika ya 65, Smalling dakika ya 77 na Nani dakika 88.
Wayne Rooney ndiye alikuwa nyota wa mchezo kutoka na kupika mabao manne katika ushindi huo ambao haukutarajiwa.
Kikosi cha Manchester United kilikuwa: De Gea, Smalling, Ferdinand, Evans, Evra/Buttner dk70, Jones, Giggs, Valencia/Young dk80, Kagawa, Nani na Rooney/Anderson dk80.
Bayer Leverkusen: Leno, Donati, Spahic, Omer Toprak, Can, Bender/Kohr dk81, Reinartz/Hegeler dk70, Rolfes, Castro, Son Heung-min/Derdiyok dk70 na Kiessling.

article-2514548-19AF0C4700000578-538_634x439_34593.jpg



wachezaji wa Manu wakishangilia moja ya magoli yao
article-2514548-19AF0EF300000578-546_634x448_a5791.jpg

Wyne Rooney na Giggs wakifurahia ushindiarticle-2514548-19AF0FC400000578-195_634x453_ac806.jpg
Kagawa akikata mbuga kuelekea kutafuta goli
MANCHESTER United imefanya mauaji makubwa ugenini, baada ya kuitandika Bayer Leverkursen mabao 5-0 nchini Ujerumani katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa ya Ulaya.
Mabao ya United usiku huu yamefungwa na Valencia dakika ya 22, Spahic aliyejifunga dakika ya 30, Evans dakika ya 65, Smalling dakika ya 77 na Nani dakika 88.
Wayne Rooney ndiye alikuwa nyota wa mchezo kutoka na kupika mabao manne katika ushindi huo ambao haukutarajiwa.
Kikosi cha Manchester United kilikuwa: De Gea, Smalling, Ferdinand, Evans, Evra/Buttner dk70, Jones, Giggs, Valencia/Young dk80, Kagawa, Nani na Rooney/Anderson dk80.
Bayer Leverkusen: Leno, Donati, Spahic, Omer Toprak, Can, Bender/Kohr dk81, Reinartz/Hegeler dk70, Rolfes, Castro, Son Heung-min/Derdiyok dk70 na Kiessling.

PITIA SURA ZA MBELE NA KURASA ZA NYUMA ZA MAGAZETI YA LEO NOVEMBER 28- 2013





DSC 0002 cd0ea

DSC 0003 96fdd
DSC 0004 d1c3e
DSC 0005 ad787
DSC 0006 f81e0
DSC 0007 3ad8bDSC 0008 c7968DSC 0009 2d49dDSC 0010 e9c8aDSC 0011 6628c

DSC 0012 c8074

DSC 0013 12efb


DSC 0014 4bcae

SASA WEKINDU WA MSIMBAZI WACHUKUA BEKO WA YANGA NA ATAKUJA IJUMAA HII



NewDocument_951f5.jpg
SIMBA imemtumia tiketi ya ndege kipa wa zamani wa Yanga, Yaw Berko na atatua jijini Dar es Salaam kesho Ijumaa kufanya mazungumzo ya mwisho na klabu hiyo ya Msimbazi.
Mwanaspoti linaweza kuthibitisha pasipo shaka kuwa Berko atatua kwa usafiri wa Shirika la Ndege la Kenya kwa ajili ya kufanya makubaliano ya kuidakia Simba kuanzia mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara unaoanza Januari 25 mwakani.
Simba imepanga kumpa mkataba wa miezi sita Berko ambao utakwisha Juni mwakani na kuwepo kwake kutategemeana na kanuni mpya za Ligi Kuu Bara kwani huenda kusiwe na makipa wa kigeni kuanzia msimu ujao kama kanuni mpya zitaanza kutumika.
Tayari uongozi wa Simba umempa maagizo kipa wao wa sasa raia wa Uganda, Abel Dhaira kumtaka atafute timu nyingine kutokana na kupungua kiwango pamoja na gharama kubwa.
Mmoja wa waandishi maarufu wa Ghana aliliambia Mwanaspoti jana Jumatano kuwa Berko amepokea tiketi hiyo na atatua katika ardhi ya Tanzania Ijumaa.
Berko alipopigiwa simu kuthibitisha habari hizo, kwanza aliguna, halafu akazungumza kwa Kiswahili; "Wewe nani? Baada ya mwandishi kujitambulisha na kumuuliza kuhusu suala la kujiunga Simba alicheka halafu akasema: ''Nipigie baadaye tuzungumze nipo mazoezini." Hata hivyo hakupatikana tena.
Viongozi wa Simba walionekana kushangazwa kila walipotafutwa kuthibitisha hilo, huku wengi wakisema hawana habari na hilo.
Hata hivyo, uchunguzi wa ndani wa Mwanaspoti unaonyesha kuwa Berko ameipokea tiketi ya ndege aliyotumiwa na Simba na atatua kesho Ijumaa kufanya mazungumzo na klabu hiyo ya Msimbazi.
Berko aliondoka Yanga mwaka huu baada ya klabu hiyo ya Jangwani kumpa dola 7,500 (Sh 12 milioni) alizokuwa anawadai kutokana na kuvunja mkataba.
Yanga ilimtoa Berko kwa mkopo kwenda FC Lipopo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ili wabadilishane na Mnyarwanda Kabange Twite, pacha wa kiraka wa klabu hiyo, Mbuyu Twite, lakini mpango huo ulishindikana msimu uliopita.
Baadaye kipa huyo bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa mwaka 2011/12 alibaki Jangwani lakini bila kucheza akawa mtu wa kujifungia chumbani muda wote makao makuu ya Yanga.
Berko, ambaye matarajio yake ya mbele ni kuwa mchungaji wa kanisa alipokuwa anawaaga mashabiki wa Yanga mapema mwaka huu, alisema anaondoka Jangwani, lakini kuna siku watamkumbuka.
"Nimefanya kazi vizuri na Yanga na sasa narudi nyumbani kufanya mambo mengine, nitawakumbuka sana, na Yanga najua watanikumbuka sana," alisema Berko alipokuwa anaondoka.
Akiwa Yanga, Berko anakumbukwa kuwa kipa imara klabuni hapo na akawa kipa bora wa ligi msimu wa 2010/2011, ingawa nyota yake ilififia alipokuwa na majeruhi ya bega yaliyokuwa yanamweka benchi mara kwa mara hali ambayo ilizua utata kuwa alikuwa anafanya makusudi.
Berko alijiunga na Yanga mwaka 2009, akitokea Liberty Proffessional ya kwao Ghana, timu ambayo ilimuibua pia Michael Essein na nyota wengine kibao wa Ghana. Aliletwa nchini na kocha wa zamani wa Yanga, Mserbia Kostadin Papic aliyewahi kufundisha katika klabu ya Hearts of Oak ya huko.
Berko anajivunia kuiwezesha timu kutwaa mataji ya ubingwa wa Bara msimu wa 2010/2011 na Kombe la Kagame mara mbili mfululizo; 2011 na 2012.
Mwaka 2011 alidaka mechi zote Kombe la Kagame, lakini 2012 alidaka hadi robo fainali alipoumia na kumuachia Ally Mustafa 'Barthez' aliyedaka hadi ubingwa.
Chanzo:Mwanasport mtandaoni

HAPPIEST MOMENT IN MA LIFE, SIKU AMBAYOOO KWA HESHIMAA NA TAADHIMA RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA TATU ALINIITUNUKU SHAHADA YA KWANZA YA SIASA NA UTAWALA( BACHELOR OF ART IN POLITICAL SCIENCE AND PUBLIC ADMINISTRATION)

Hans Mbedule Dimo Ndani ya vazi la hishimaaaaaaa

 Nipo na kijana mtanashati Mlekwa ukipendaa muite mtoto wa Wenger

Babyto Fetty alihusika vilivyo

Tuesday, November 12, 2013

MSANII WA BONGO MOVIES MUHARAMI ATHUMAN a.k.a FRANCO WA BELINDA AJA NA MCHAKATO WA KUIBUA VIPAJI VYA WAIGIZAJI



Franco wa Belinda

Si sura ngeni kama ni mfuatiliaji mzuri wa film za kibongo, maarufu kama Bongo Movies, Franco wa Belinda kama alivyozoeleka kwa wadau wa tasnia hii alianza kuonekana katika film ya FAMILY TEARS iliyoandaliwa na kampuni ya Game 1st Quality. kweli ndondondo si chururu Super Director MSHINDO JUMA4(Mlezi wa wana) akakiona kipaji cha Franco na kumsajili kwenye kampuni yake ya SSG na kumchezesha movie nyingi kama Radhi ya Mama, Honey Moon, Belinda na My Brother, kutokana na malengo ya kujitanuaa zaidi kisanaa Franco aliaga kwa Super Director na kuruhusiwa bila kinyongo na kuamua kuanzisha kampuni yake mwenye ijulikanayo kama MKWAMA's FILM PRODUCTION chini ya uangalizi wa KAZINGINI PRODUCTION iliyopo Morogoro Mjini,




baadhi ya wasanii chipukiz wa mkwama's film production kutoka kongwe


Hivi sasa wamefungua tawi lake Kibaha Kongowe
UKIFIKA KONGOWE WE ULIZA K.SAM FILM ukifika K.SAM basi umefika MKWAMA FILMN& KAZINGINI PRODUCTION
MOVIES ZILIZOTENGENEZWA NA MKWAMA'S PRODUCTION NI KAMA VILI MDANANDA ILIYOSAMBAZWA NA IMK INTERTAINMENT.
KAENI MKAO WA KULA VITU VIKALI KUTOKA KWA FRANCO WA BELINDA AKIWA NA CHIPKIZI VYAJA aliongeza Franco wa Belinda kwa kujiamini



vijana wakiwa mazoezini na pozi tofauti tofauti

Sunday, November 10, 2013

BRAKING NEWZ!! NDUGU ZITTO Z. KABWE (MB) ATOA TAMKO RASMI KUHUSIANA NA KINACHOITWA “TAARIFA YA SIRI YA CHADEMA”...SOMA HAPA ALICHONENA!!! Read more: http://www.hansmbedule.blogspot.com




Ndugu Wanahabari,
NILIPOKUWA katika ziara ya bara la Ulaya kati ya Oktoba 21 mpaka Novemba 2 mwaka huu (2013), nilipokea kwa njia ya barua pepe ripoti inayoitwa “Taarifa ya Siri ya Chadema” ambayo pia ilikuwa imesambazwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.

“Taarifa ya Chadema inasema kwamba chama hicho (chama changu) kilikuwa kimechunguza mwenendo wangu tangu mwaka 2008 hadi 2010 na kubaini kuwa mimi napokea fedha kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuivuruga Chadema.

Ripoti hiyo ilinihusisha pia na mwananchi raia wa Ujerumani, Andrea Cordes ambaye, kwa mujibu wa ripoti hiyo, alinisaidia kupokea na kuhifadhi kiasi cha dola 250,000 za Marekani kupitia kwenye akaunti yake binafsi.

Taarifa hii ya kutunga na iliyojaa uongo wa kiwango cha kutisha, imenifadhaisha, kunisikitisha na kunikasirisha.

Taarifa hii iliibuliwa katika kipindi ambacho nilikuwa safarini kutetea haki za Watanzania na Waafrika ambao utajiri wao wa rasilimali unafaidiwa na watu wachache waliohifadhi mali katika nje za nje na pia kupigania makampuni ya mataifa tajiri yalipe kodi stahiki katika nchi zetu.

Pengine lengo la ripoti hiyo lilikuwa ni kutaka kunipoteza kutoka katika nia na dhamira yangu ya dhati ya kutaka Watanzania wafaidike na utajiri wao. Muda ambao watunzi wa ripoti hiyo waliamua kutoa taarifa yao unazua maswali mengi kuliko majibu.

Nafahamu kwamba mimi ni mwanasiasa ambaye nimekuwa mlengwa (target) wa mashambulizi kutoka kwa makundi mbalimbali ya wanasiasa na vikundi vyao. Kama mwanasiasa, niko tayari kupokea changamoto zozote zinazokuja na uanasiasa wangu.

Hata hivyo, ambacho sitakubali ni kwa watu kutumia jina langu na uanasiasa wangu kunichafua mimi binafsi na watu wengine wasiohusika kwa sababu ya kutaka kutimiza malengo yao ya kidhalimu.

Raia huyo wa Kijerumani tayari amekana kuhifadhi fedha zangu. Kwa maelezo yake kwa baadhi ya viongozi wa Chadema amekana kuwa na akaunti inayotajwa na amekana pia kuwepo nchini Ujerumani katika siku na wakati uliotajwa kwenye ripoti hiyo.

Ripoti hiyo imemtaja pia mtu kama Dk. Charles Kimei, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB ikidai kwamba nilikutana naye na alishiriki kwenye igizo hilo la kunipa fedha.

Niseme mapema kwamba tangu kuzaliwa kwangu sijawahi hata mara mojakukutana na Dk. Kimei popote pale ndani au nje ya nchi. Kumuingiza mtu ambaye amejenga jina lake kwenye taaluma ya kibenki kwa sababu tu ya lengo ovu la kumchafua Zitto Zuberi Kabwe si uungwana bali ni unyama.

Kutokana na uchafuzi huu wa wazi dhidi ya taswira yangu binafsi na watu wengine walioingizwa kwenye mkumbo huu, nimeandika rasmi kwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk.Wilbrod Slaa kumwomba athibitishe kwamba kinachoitwa Taarifa ya Siri ya Chadema ni kweli ni taarifa ya chama au kiikanushe ili niweze kuchukua hatua za kisheria dhidi ya waandishi wa hekaya hiyo.

Cha ajabu, nimepokea ujumbe wa kutishiwa maisha kutoka kwa mtu anayejiita Theo Mutahaba na kuahidiwa KUPOTEZWA endapo nitaendelea na jitihada zangu za kupambana na ufisadi na kutafuta haki kwa Watanzania wote pasipo kujali tofauti zao za kiitikadi, kikanda, kikabila na kidini.

Natarajia kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya wote ambao wamehusika na utungaji na uenezi wa taarifa hii. Nitahakikisha kwamba wahusika wanatafutwa na kufunguliwa mashitaka stahiki ya upotoshaji na kuchafuana.

Ni matarajio yangu kwamba wale wenye mapenzi mema na Tanzania, mimi binafsi na utawala wa sheria, wataelewa nia yangu ya kutafuta haki katika suala hili.

Nimeamua kujitolea maisha yangu kwa ajili ya Watanzania na kama alivyopata kusema Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela; “Struggle Is My Life.”
Forward Ever, Backward Never- Kwame Nkrumah
Zitto Kabwe (Mb)


Read more:

Wednesday, November 6, 2013

CHECK OUT THIS SERIES OF CAUGHT IN THE ACT, WHICH WAS MOST DISASTROUS? WHO REALLY FOUGHT FOR MAN?

Who had the Nigerian blood? Case A Case B Case C Case D Meanwhile for women that go all out stealing married men from their Homes Be Warned!!!. Many days for the thief, one day for the Owner. Just a Piece of Advice. - See more at: http://ellist.com/ng/forum/3523/photos-caught-in-the-act#sthash.X3hj6pI0.eZaJxaNO.dpuf






PICHA ZA AKINADADA WALIOPIGWA WAKIWA NA PEDESHEE NDANI YA BONGO








sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...