Tuesday, November 12, 2013

MSANII WA BONGO MOVIES MUHARAMI ATHUMAN a.k.a FRANCO WA BELINDA AJA NA MCHAKATO WA KUIBUA VIPAJI VYA WAIGIZAJI



Franco wa Belinda

Si sura ngeni kama ni mfuatiliaji mzuri wa film za kibongo, maarufu kama Bongo Movies, Franco wa Belinda kama alivyozoeleka kwa wadau wa tasnia hii alianza kuonekana katika film ya FAMILY TEARS iliyoandaliwa na kampuni ya Game 1st Quality. kweli ndondondo si chururu Super Director MSHINDO JUMA4(Mlezi wa wana) akakiona kipaji cha Franco na kumsajili kwenye kampuni yake ya SSG na kumchezesha movie nyingi kama Radhi ya Mama, Honey Moon, Belinda na My Brother, kutokana na malengo ya kujitanuaa zaidi kisanaa Franco aliaga kwa Super Director na kuruhusiwa bila kinyongo na kuamua kuanzisha kampuni yake mwenye ijulikanayo kama MKWAMA's FILM PRODUCTION chini ya uangalizi wa KAZINGINI PRODUCTION iliyopo Morogoro Mjini,




baadhi ya wasanii chipukiz wa mkwama's film production kutoka kongwe


Hivi sasa wamefungua tawi lake Kibaha Kongowe
UKIFIKA KONGOWE WE ULIZA K.SAM FILM ukifika K.SAM basi umefika MKWAMA FILMN& KAZINGINI PRODUCTION
MOVIES ZILIZOTENGENEZWA NA MKWAMA'S PRODUCTION NI KAMA VILI MDANANDA ILIYOSAMBAZWA NA IMK INTERTAINMENT.
KAENI MKAO WA KULA VITU VIKALI KUTOKA KWA FRANCO WA BELINDA AKIWA NA CHIPKIZI VYAJA aliongeza Franco wa Belinda kwa kujiamini



vijana wakiwa mazoezini na pozi tofauti tofauti

No comments:

Post a Comment

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...