Saturday, July 13, 2013

SIMBA YAFANIKIWA KUMSAJILI MFUNGAJIA BORA WAKAGAME 2013 HAMIS TAMBWE. PATA UNDANI ZAIDI

.
.
Simba sports Club ya Dar es Salaam imefanikiwa kumsajili mfungaji bora wa michuano ya Kagame Cup 2013 Hamis Tambwe kutokea Vital O ya Burundi kwa kumpa mkataba wa miaka miwili July 12 2013 kuanza kuwatumikia wekundu hao wa Msimbazi kwa mujibu wa shaffihdauda.com

.Tambwe mbele ya mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba.

No comments:

Post a Comment

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...