Thursday, July 11, 2013

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO YA UFUNDI -


WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO
UFUNDI NA CHUO CHA 'MANEGEMENT' NA MAENDELEO YA MAJI
Wanafunzi Kuripoti katika shule walizopangwa Muhula wa kwanza kwa wanafunzi
wa Kidato cha Tano kuanzia mwaka huu 2013 itaanza mwezi Julai. Wanafunzi
wamepangwa katika shule zenye miundombinu na walimu kwa masomo husika.
Aidha, kama baadae upungufu utajitokeza, wakuu wa shule wameelekezwa kufanya
taratibu za kuazima walimu wa muda na kutoa taarifa kwa uongozi wa halmashauri
husika kuhusu upungufu wa walimu uliopo. Kwa nafasi hii, ninaagiza wanafunzi wote
kuripoti katika shule walizopangwa tarehe 29 Julai, 2013. Kama kutakuwa na
sababu yoyote ya msingi ya kuhamia shule nyingine, uhamisho wa kawaida utafanywa
baada ya kuripoti shuleni kupitia kwa mkuu wa shule husika, Mkurugenzi wa Halmashuri
/Manispaa na Katibu Tawala wa Mkoa.
(Wizara haitabadilisha shule walizopangwa wanafunzi)

Wanaporipoti wanatakiwa kuwa na:
   Original Result slip na Living Cerificate                                                                                                                                                                                                                                                                 




 
KWA MAJINA YA WAVULANA BOFYA LINK HII http://www.moe.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_details&Itemid=0&gid=221 MAJINA YA WASICHA BOFYA HII LINK
http://www.moe.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_download&gid=222&Itemid=385K

No comments:

Post a Comment

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...