Wakati Arsenal wakijikita kileleni kwa mabao ya Sagna, Ramsey na Mertesaker

Katika jiji la Manchester mambo yamekua mambo baada ya Arguero kuanza kuingoza timu yake DK ya 16, na 47 na baadae Yahya Toure kuongeza la 3 dk ya 45+1 na kuifanya timu hiyo kwenda mapumziko ikiongoza kwa goli tatu.
Ilikua ni dk 50 wakati Nasri akiongeza maumiv kwa Man u kwa kufunga Goal la nne na la mwisho kabdla ya Rooney kunga goal la kufutia machozi kwa Man u dk ya 80.
No comments:
Post a Comment