Wednesday, November 14, 2012

YANGA ILITUMIA MILIONI 375 KUSAJILI KIKOSI TISHIO LIGI KUU , SOMA TAARIFA KAMILI YA MAPATO NA MATUMIZI


Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC, Clement Sanga (katikati) akizungumza na Waandishi wa Habari mchana wa leo, makao makuu ya klabu hiyo makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani, Dar es Salaam kuhusu taarifa ya mapato na matumizi katika kipindi cha miezi mitatu ya kuwapo kwao madarakni (Julai 15 hadi Oktoba 15, mwaka huu),  Wengine kulia ni Mkurugenzi wa Fedha wa Yanga, Dennis Oundo na kushoto Katibu Mkuu, Lawrence Mwalusako. Katika taarifa hiyo, inaonyesha Yanga ilitumia Sh. Milioni 375 kwa usajili.

No comments:

Post a Comment

sikiliza ngoma zinazo kamata kwa sasa

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...